UTETEZI WA LULU: Kanumba alitaka kunibaka...

 

Mpitagwa waona mbali sana...........usijali hao majaji kwa sababu nafasi zao zenyewe kuzipata ni ufisadi mtupu............sisi tutendelee kutafakari namna ya kurekebisha mfumo mzimwa wa mahakama..........muhimbili hawajatusaidia sana kwa sababu hawajatueleza zile anti hiv cocktail alizokuwa anameza mwendazake zinapochanganywa na jack Daniel na vile vinginevyo vina madhara gani katika mwil na status ya mwendazake ya hiv ilikuwa imefikia hatua gani waathirika wengi wa vvu wanaokunywa pombe na kutumia madawa tajwa huwa wana tabia ya kudondokadondoka na kutokwa mapovu mdomoni sasa sielewi mwendazake alikuwa katika hatua gani................mimi nina miaka 50 sina daktari na wala simhitaji daktari binafsi unapoona nchi masikini kama hii kijana wa miaka 28 ana daktari wake wapaswa kujiuliza alikuwa wa nini kama siyo kumsogezea cocktail bila ya kujulikakana kama naye yumo kwenye tiba endelevu........
 
Rutta,
Nakubaliana na wewe wakati fulani hakuna haja ya kumweka mtu ndani kama hujakamilisha uchunguzi. Yule RPC alisema tunafanya uchunguzi, lakini jumanne tutampeleka mahakamani. Unafanya uchunguzi lakini tayari una conclusion. Ndo mambo ya yule kiongozi wa Polisi aliyetumwa kuchunguza vurugu Songea............

Nakubaliana kabisa kesi kama hizi zinahitaji weledi mkubwa sana katika kuchunguza kuliko kukimbilia kuwa Lulu ndo ameua. Kuna maswali machache ya kujiuliza
  • Je ilimchukua muda gani mdogo wa SK kusikia kelele za vurugu hadi kuingia chumbani kwa Kanumba
  • Kwanini hakutoka mara moja wakati vurugu zinaendelea
  • Je Lulu aliondoka na usafiri gani toka hapo nyumbani
  • Dr wa SK alikuwa umbali gani toka eneo la tukio
  • Ilichukua muda gani kumuita Daktari wa Kanumba hadi kufika hapo?
  • Je unapomuona mtu unconscious kama vile hatua ya kwanza ni kumuita daktari au kumkimbiza hospitali
  • Je SK alikuwa na matatizo kama hayo kiasi kwamba mdogo aliona bora amuite DR wake kama anavyofanya-ga siku zote
  • Je SK alikuwa na maradhi/hali ya afya yoyote inayojulikana?
  • Je SK alikuwa anatumia dawa zozote - was he under medical prescription
  • Kwanini Dr aliamua kumpigia simu Lulu?
  • Nani alipiga simu kwa wasanii ambao walikuwepo kwenye msafara wa kupeleka maiti Muhimbili?
  • Katika hali ya kuchanginyikiwa vile inawezekana vipi mwanafamilia angeweza kupiga simu kwa wasanii
 

Ruta hoja ya kupangua utata wa umri wa Lulu hapa;
LULU akiongelea maisha yake baada ya MIAKA 18 ndani ya TAKE ONE link hii hapa LULU akiongelea maisha yake baada ya MIAKA 18 ndani ya TAKE ONE - YouTube


 
Utata wa umri angalia hapa chini
LULU akiongelea maisha yake baada ya MIAKA 18 ndani ya TAKE ONE link hii hapa LULU akiongelea maisha yake baada ya MIAKA 18 ndani ya TAKE ONE - YouTube

huu ushahidi haukubaliki mahakamani - kwani ulitolewa kwa kiapo?-na usiome sheria ya sexual offences jinsi ilivyofafanua nama ya kukusanya uishahidi wa tuhuma za ubajkkaji.........................kauli ya binti mahakamani ni final kama hakuna birth certificate
 
Kwa kutumia cheti cha kuzaliwa tena bongo Kwa nini umri usichakachuliwe wakati hapo ulipo unaweza kwenda kwa wanaohusika na ukapata cheti cha kuzaliwa chenye taarifa ulizozitoa wewe?

Habari ya kubakwa imetokea wapi tena wakati mtuhumiwa kasema walikuwa na kutoelewana kwa sababu alipigiwa sm na kutokanayo nje ili apokee ndipo marehemu akahisi kuwa anaongea na mwanaume mwingine na mwenyewe amekiri kuwe alikuwa anaongea na mpenzi wake mwingine?

na alimaliza F4 akiwa na miaka 15?

Siungi mkono mahusiano ya kimapenzi na mabinti wadogo.
 

Umesema wewe kuwa SI MWANASHERIA, mwisho kabisa una conclude kuwa: 'Dogo haruki hata iweje' So why do you bet, if you know that you are ignorant of the Law?
 
Sasa haka katoto kalienda kufanya nini chumbani kwa wakubwa usiku?Au kalikuwa kidnapped????

hata kama kalienda kwa hiari yake kubakwa bado kanalindwa na sheria ya sexual offences act............
 
Umesema wewe kuwa SI MWANASHERIA, mwisho kabisa una conclude kuwa: 'Dogo haruki hata iweje' So why do you bet, if you know that you are ignorant of the Law?

Okuberwa uko kwenye mstari kabisa....tatizo la wachangiaji wanaona DPP ni kama Mungu kwa hiyo kama kafungua jarida basi wanaona huo ndiyo the gospel truth...................wanafuatilia tu kam anyumbu a wavivu katiak kutafakari............
 

utetezi wa mtuhumiwa mbele ya mahakama ya kuwa yeye ni mtoto usiupuuze hata chembe...................chini ya sheria ya sexual offences act mtoto kama huyo hana hatia kwa sababu hapaswi kujua au kufuata sheria ila wewe ambaye umezidi miaka 18 unapaswa kumwongoza kuwa umri bado hauruhusu usipofanya hivyo maji yanapomwagika ndipo utakapoonja joto la jiwe............
 

Mkuu hapa ruta atapotezea as if hajaona kwakuwa hana majibu...
 

yaani sikutegemea kama nitakutana na michango mizito kama hii. Keep it up Kintiku...afya ya mwendazake ndipo kesi inakatikia ikichanganywa na matumizi ya pombe kali na huku akitumia madawa ya kupunguza makali ya vvu..........lakini huo nimjadala mpya nitaufugnua siku nyingine baadaya kupata takwimu fulani fulani ambazo ninazisubiria...........maswali ambayo unajuliza ndiyo any serious DPP angelijiuliza badala ya kupokea mshahara mkubwa na kutarajia malipo ya pensheni ya viongozi kwa utendaji bomu kama huu wa kufungua kesi ya mauaji kwa kifo kilichosababishwa na uzembe wa kuchanganya pombe kali na adawa ya cocktail za vvu..........muhimbili nao walipaswa kutoa tamko kuhusu hilibadala ya kuzungumzia hisia zao za nini kina sababisha "brain concussion"
 
Du! Mawakili wetu wa Bongo bwana, No wonder magereza yamejaa.
 
Mkuu hapa ruta atapotezea as if hajaona kwakuwa hana majibu...

hizo hoja za matendo ya mtoto yanhalalisha kubakwa hazikubaliki mahakamani. sheria inamtambua mtoto hajui afanyacho........usiende huko mtaani ukabaka mtoto halafu kesho ukasema mbona alikuwa anafanywa na wengi au kila siku yuko night club.................hakuna atayekusikiliza........
 
Du! Mawakili wetu wa Bongo bwana, No wonder magereza yamejaa.

magereza yanajaa kwa sababu ya mawakili au maovu yameongezeka au magereza ni chache na haziendani na mahitaji ya jamii.........??????????.......achana na majibu mepesi kwa maswali magumu.............
 

Mkuu mwazoni nilielewa hoja yako lakini kadri unavyozidi kuitetea unapotoka.......
Unataka kuniambia ni document ya birth certificate tu ndio inaweza kuthibitisha umri wa LULU?
Na kama haipo ni kauli yake tu mahakamani ndio inathibitisha umri wake?

What about kadi za kliniki, rekodi zake shuleni, vyeti vya ubatizo, driving license, passport nk
Unataka kutuaminisha ni LULU pekee anayetakiwa kuthibitisha umri wake kwa kutamka mahakami kama hakuna Birth cert?
Hivi LULU na mzazi wake ni nani anatakiwa kuthibitisha umri wa LULU mahakamani
 

Acha kuinajisi tasnia ya sheria wewe... ni juzi tu nilikuwa kwenye mkutano wa wadau wa CHRAGG na pale tulikuwa na mawakili toka ofisi ya mwanansheria mkuu wa serekali pamoja na wizara ya katiba na sheria kuangalia Mambo ambayo Tanzania inatuhumiwa na UN kuwa yanakiuka sheria. Mojawapo lilikuwa kuendelea kuruhusu sheria ya ndoa kutambua ndoa ya under 18 with the consent of parents... Majibu ya serekali (ninayo hardcopy) ni Kuwa Swala hilo lijadiliwe kwanza na wadau kabla ya kutolewa maamuzi kwani ni sensitive na linagusa imani za kidini..... Leo hii wewe unayejiita mwanasheria unatudanganya kuwa SOSPA imefuta?? Kifungu gani?? Umeisoma yote??

Nakumbuka pia ulitolewa pia mfano wa issue ya binti wa miaka 15 aliyekuwa ameolewa huko mbagala if i am not mistaken, kwa shinikizo la wazazi akakimbilia TAMWA na ITV wakarusha taarifa yake siku moja kabla ya hicho kikao ambapo yule bwwana alipohojiwa na mtangazaji aliljibu kuwa "Kwani nimevunja sheria gani wakati sheria ya kidini na ya nchi inaniruhusu....Kama mwanataka wanirudishie mahari yangu millioni 2"...


Hoja hapa ni kuwa wewe ni nani hata ubishane na wizara inayohusika na sheria yenyewe inayotambua kuwa hiyo sheria kandamizi bado ni operatioal?? pamoja na UN?? KWA QUALIFICATIONS GANI ULIZO NAZO??KWANZA NAASSUME WANASHERIA WOTE MAKINI WAPO MAHAKAMANI SAA HIZI WALA HAWANA MUDA WA KUSHINDA HUMU JF KAMA WEWE MAANA USIKU NA MCHANA KUCHA upo JF... Acha uongo , acha kupotosha umma.

 
Mkuu Ganesh, hii dunia ya vijana naona huifahamu. Siku nyingine wala usiongelee kabisa.

Eti nini? Snoop Dogg hana kwenye Video? Hebu angalia huu wimbo wake na Wiz Khalifa ".... so what we get drunk, so what we smkoke weed (Bangi) .... We are young, wild and free"

 
Last edited by a moderator:
Nahisi wana Jukwaa tuko nje ya mada, mbona tunajadili kubaka na umri? Kwani Lulu kashitakiwa kwa kosa la kubaka mahakamani.
Hata kama tunajadili uwezekano wa Lulu kujitetea kwa kigezo cha kujitetea ili asibakwe, mbona hakuna mazingira hayo kabisa katika tukio lile?????

Au kuna m2 amemsikia Lulu au mtu wa karibu wa Lulu akijiandaa kupeleka utetezi wa kutaka kubakwa.
Swali Kwani marehemu alikuwa akifanya mapenzi wakati kifo kinamkuta????????

Kubakwa = Penetration of the p*****s into female's v****#na + absence of female consent.

absence of Female Consent inaweza kupatikana through minor age defn.
What about Penetration????????

Je hayo yalitokea??????
 
Hoja zako ni za kulazimisha kbs. Naona unajipa psychological consolation. Subiri tu, muda si mrefu utaujua Ukweli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…