Utetezi wa Sabaya: Amwangushia zigo Hayati Magufuli na kudai Gavana Luoga na Makamu wa Rais Dkt. Mpango walifahamu

Ushamba hufanya kazi kwa washamba.

Alijua mma ushamba fulani,akawaletea mwingine ili akili ziwakae sawa.
Yeye ndiyo akili zimemkaa sawa huko alikitangulia . Huwezi kujiona wewe ndiyo wewe dunia hii ya Mungu. Yako wapi sasa kawaachia watu wanatumbua .

Huwezi kupora mchakato wote as if umeongea na Mungu. Kwisha habari yake
 
Utetezi wake ungekuwa na maana kama huyo "aliyemtuma" angekuwepo lakini hao wengine hakuna hata mmoja kati yao atakaye mtetea.
 
Kwamba Rais Magufuli leo angekuwa hai angefika mahakamani bila shaka kumtetea Ole kwamba alimtuma akafanye uhalifu wa unyang'anyi
 
Kama prove ipo Mzee usifikili angefanya yale Bila ruhusa ya wakubwa wake
Aipate wapi hiyo proof?!

Hata kama alitumwa, usitarajie eti alipata official letter kumtaka akafanye huo uhalifu!! Hiyo official letter ingekuwa ndo ushahidi!!

Hapo itakuwa alitumwa kwa kupigiwa simu tu!!!

Lakini hata kama angekuwa na hiyo barua, bado alitakiwa kujua kama maagizo aliyopewa ni halali kisheria, au la!! Na iwe anajua au hapana bado haiwezi kusaidia kwa sababu kutojua sheria haihalalishi kuvunja sheria!!
 
Duh!! Mungu anamuona lakini!

Amejitetea kiume sana

Makamu wa Rais Dr Mpango na DC mstaafu Dr Kihongosi watakuwa mashahidi wake muhimu kama katiba inaruhusu.

Rais mstaafu Mkapa aliwahi kupanda kizimbani kumtetea Prof Mahalu pale Kisutu!
Mwenda zake aitwe kutoa ushahidi.
 
Sio kwa zile dharau alizomfanyia
 
Ana kale ka id kake ka mwanausalama......
 
Mwanzo niliamini Sabaya ameandaa ushahidi mzito dhidi ya tuhuma zake. Lakini kwa utopolo kama huu wa Leo hata huyo Wakili wake anamlipa bila kazi ya maana.
 
Yawezekana Sabaya hana qualified advocate au yuko kwenye extreme stage ya desparation. Hata mimi lay person siwezi kumfanyia examination client wangu kwa swali kama hilo.

Ni weitten documents tu zenye sahihi rasmi za kutoka kwa Magufuli zinazomuamuru kwenda kufanya hiyo operesheni ndizo zinaweza kumuokoa. Otherwise hiyo siyo defence bali maongezi ya kijiweni tu.
 
Nchi hii ni ngumu Sana, yaani mpaka hapo mwamba atawataja majina Sana ..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…