Utetezi wa Sabaya: Amwangushia zigo Hayati Magufuli na kudai Gavana Luoga na Makamu wa Rais Dkt. Mpango walifahamu

Duh!! Mungu anamuona lakini!

Amejitetea kiume sana

Makamu wa Rais Dr Mpango na DC mstaafu Dr Kihongosi watakuwa mashahidi wake muhimu kama katiba inaruhusu.

Rais mstaafu Mkapa aliwahi kupanda kizimbani kumtetea Prof Mahalu pale Kisutu!
Sabaya amejikaanga kwa mafuta yake mwenyewe, kuwataja hao kwamba walijua operations zake, ni kukiri kuwa upuuzi alioufanya ni kweli......hata kama boss wako anakuamrisha kufanya jambo fulani lazima ulipime kwanza
 
Hebu tuliza uxenge kidogo,kuna issue ya maana inajadiliwa hapa 5uma we
 
Kweli ccm ni majambazi pure wakati sabaya Ana makesi ya ujambazi karibu wake Mwenyezi kenani kihongosi nayeye anatajwa yani hili lichama ni majambazi watupu.
 
Sabaya amejikaanga kwa mafuta yake mwenyewe, kuwataja hao kwamba walijua operations zake, ni kukiri kuwa upuuzi alioufanya ni kweli......hata kama boss wako anakuamrisha kufanya jambo fulani lazima ulipime kwanza
Ukishalipima kisha unaamua kitu gani?
 
Magufuli alikuwa ni jambazi mwenye genge la majambazi aliowavisha madaraka serikalini
 
Unajuaje Kama anazo just wait and see
 
Hii ndio maana halisi ya ugaidi I gues
 
Kazi ipo
 
Inshu ya balozi mahalu huwezi ilinganisha na ya huyu jambazi!!kwani hiyo ilikuwa ni matumizi mabaya ndani ya ubalozi, na kuna ushahidi wa doc'zilitolewa, inshu ilikuwa labda ni utaratibu tu ndio haukufuatwa!!sasa huyu atoke wilaya yake, hadi huko, bila viongozi husika kujua, na kwanini ameshindwa kuwataja hao ambao ni TASK FORCE, iliyotoka dar, ambayo alikwenda kuwapokea wakaungana naye kwenye zoezi hilo??mimi nadhani kama angewataja kwa majina wangekuwa mashahidi wake wazuri.Sasa anaposema siwezi kuwataja kuna nini hapo?!!na mbona ni jambo dogo tu, wakitaka kufuatilia kama ni kweli kulikuwa na maelekezo hayo!!yeye anadhani ni sawa na kuwaambia watu kuwa JANA USIKU MUNGU AMENITOKEA NA KUNIAMBIA VILE".kwa kufuata sheria hii kesi hawezi chomoka!!!
 
Exactly
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…