Utetezi wa Sabaya: Amwangushia zigo Hayati Magufuli na kudai Gavana Luoga na Makamu wa Rais Dkt. Mpango walifahamu

Nani atathibitisha kama alitumwa na Magufuli , halafu ukitumwa kufanya ujambazi ndio hufungwi jela ?

Huyu kijana tulimuonya mara nyingi mno ! lakini akatupuuza akidhani kwamba jiwe litaishi milele , Kiko wapi sasa ?
gaidi Mbowe linalipia karma ya ukatili na uovu linanyea debe behind the bars
 
Huyu Sabaya ni sikio la kufa!
Nafikiri hata mawakili wakewamenyoosha mikono kesi hii.
Kwa hiyo mteule wa raisakiambiwa kapore, kabake, kaibe tena eneo lisilo kuhusu kiutawala, mtu anaenda tu kama zuzu!!
Mkaka 30 inamhusu Sabaya!
 
The whole government is corrupt.
Crooks
 
Hata kama hakuna maagizo yasiyo na details unapewa maagizo ya mdomo aliemshauri ajitetee hivi kamsogeza karibu na mlango wa jela
 
Jamani mmemwelewa lkn!?
 
siku hizi vijana ndiyo wachawi mbwa, ona sasa anasababisha wazee wenye heshima zao wanaumbuka mchana kweupe! 😄😄
Bwashee kamwaga Ubwabwa ,Kuna mmoja alikuwa anasifika sana kuwa ukienda kwake ni mcha Mungu,misalaba kila kona naona yupo kwenye list.
 
Hivi jamani kwa watumishi wa umma ,kile kipengele cha utafanya kazi yeyote utakayopangiwa na bosi wako huwa kina maana gani? Maana hapa sabaya akifungwa nyie mabosi msituone viburi tukigoma kufanya kazi mnazotutuma

Kwa uongozi was jpm ,je kuna MTU angeweza mbishia na akawa salama ? Hata huyo hakimu angeembiwa ahukumu kesi kadri mzee anavyotaka angekataa?

Kiufupi hapa sabaya anakosa alilotenda katika kutii mamlaka iliyomteua na ndo maana kwann hakushitakiwa enzi za jpm? Na je jpm angekuwa mzima angeshitakiwa?

KATIBA MPYA MUHIMU NDUGU ZANGU ,SIKU NIKAWA RAISI NIKAHITAJI KULA NYAMA ZA WATU MTAKOSA PA KUNIKAMATIA
 
Hii kesi ngumu
Kesi ni nzuri, kama hiyo mamlaka iliyomteua ndio iliyomtuma as they say "amri kutoka juu" wakijaga kututeka basi bado atakuwa na kesi ya ukatili alioufanya sababu ni kinyume na sheria na pia hao mabaunsa aliowakana itabidi wathibitishe kwamba kweli wapo ndani ya mfumo na sio wahuni wakuokota kama inavyodaiwa
 
Wewe kweli akili yako umeshikiwa. Yani sabaya hana kosa? Na hapo ni kesi ya Shahid Stores tu bado hizo kesi za ubakaji, bado kesi za huko Kilimanjaro. .

Huyo mtu ana kesi nyingi na uovu mwingi sana mpaka shetani mwenyewe analaani.
Bora angakana mashitaka kidoogo angeipa mahakama kazi
 
Akipata ushahidi wa kutumwa Arusha kufanya hilo tukio basi kesi ya uvamizi haitakuwepo tena
 
Kakana shtaka la kupiga na kupora alichokubali ni kufanya operation hiyo jijini Arusha
Alifanya operation Arusha Kama Nani mkuu wa wilaya ya Arusha? Wakati yeye Ni mkuu wa wiaya ya Hai kilichompeleka Arusha Nini? Operation ilitakiwa ifanywe na mkuu wa wilaya ya Arusha au Mkuu wa mkoa Arusha alienda Kama Nani Kama hakwenda Kama jambazi?
 
YEHODAYA hapa umenena. Hana utetezi huyu, asubiri kusomewa hukumu tu. Hapo hajashuka wakili upande wa jamhuri kumhoji huo utetezi wake. Tanzania nzima mkuu wa wilaya ni yeye tu, asubiri kupangiwa miaka tu.
 
Haisaidii,mkamatwa na ngozi ndio mhusika.

Kuvunja sheria ni makosa haijalishi umetumwa na nani maana hakuna alie juu ya sheria.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…