Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
No mimi ni CCM Nyerere, CCM Nyerere ni wapenda haki, tunapenda CCM ishinde kwa haki na sio kwa mbinu au figisu!. Tanzania hatuna any credible serious opposition. Je, CHADEMA inaweza kushinda 2020? Is it serious, credible & mature enough opposition?Uko CCM kimwili Ila kiakili Uko Opposion
Nani kasema ni udini au wewe unaonaje,sio waislam tu?Acha Udini aise,
Kumbe Zanzibar hamna mkristu hata mmoja!Kuna nafasi ni kwaajili ya Zanzibar Unataka wakristu watoke wapi Zanzibar?
Mkt UVCCM tumesema zamu hii Mkt atatoka Zanzibar shida iko wapi?Halafu nafasi ya mwenyekiti uvccm taifa wagombea ni wazanzibari tupu!
Kundi la kifo ni hili la nafasi ya mwenyekiti UWT taifa. Patachimbika hapa.
Yes aliyoomba nafasi hiyoKumbe Zanzibar hamna mkristu hata mmoja!
Amandla...
Unataka wakristu watoke wapi Zanzibar?Yes aliyoomba nafasi hiyo
Kweli inawezekana kabisa. Mbona zamani akina Castico na wengine walikuwa wakiomba na wakipitishwa kwa nafasi tafauti?Yes aliyoomba nafasi hiyo
Kate Kamba ...MGOMBEA UENYEKITI MKOA DSM NA UWT TAIFAHuyu Dr.wemael chamshana atatumikiaje mabwana wawili....
Anawania nafasi mbili KWA wakati mmoja!? Hakuna wenngine wenye sifa stahiki!? Zaidi yake!?....
Ama kweli Ccm ina wenyewe...
naona mnamatawi mpaka kambi za za wajeda... sawa endeleeni tu si tunawawatch tu mtafika mwisho wenu wa usanii
vipi huyu kapita tawi lenu lilee la wajedaHalmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa (NEC) imekutana kikao cha kawaida Jumapili 13 Novemba, 2022 chini ya Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu Samia Suluhu Hassan, Makao Makuu ya Chama, Dodoma.
Pamoja na mambo mengine, Halmashauri Kuu ya CCM ya Taifa imefanya uteuzi wa majina ya wanachama watakaogombea nafasi za uongozi ndani ya CCM na Jumuiya zake katika ngazi ya Mkoa na Taifa kwa mujibu wa katiba ya CCM ya mwaka 1977 Toleo la mwaka 2022 Ibara ya 82(1). Kwa upande wa wagombea wa nafasi ya Mwenyekiti na Makamu Mwenyekiti wa Jumuiya za CCM ngazi ya Taifa walioteuliwa ni kama ifuatavyo:-
NAFASI: MWENYEKITI UVCCM TAIFA
1. Farid Mohamed HAJI
2. Kassim Haji KASSU
3. Mohamed Ali MOHAMED (KAWAIDA)
4. Abdallah Ibrahim NATEPE
NAFASI: MAKAMU MWENYEKITI UVCCM TAIFA
1. Khadija Khalid ISMAIL
2. Dorice John MGETTA
3. Victoria Charles MWANZIVA
4. Rehema Sombi OMARY
NAFASI: MWENYEKITI UWT TAIFA
1. Gaudentia Mugosi KABAKA
2. Kate Sylvia KAMBA
3. Dkt. Wemael Allen CHAMSHAMA
4. Mariam Mohamed LULIDA
5. Mary Pius CHATANDA
NAFASI: MAKAMU MWENYEKITI UWT TAIFA
1. Latifa Nasser AHMED
2. Thuwaybah Edington KISSASI
3. Hafsa Said KHAMIS
4. Zainab Khamis SHOMARI
NAFASI: MWENYEKITI WAZAZI TAIFA
1. Dkt. CPA. Edmund Bernard MNDOLWA
2. Fadhili Rajabu MAGANYA
3. Bakari Nampenya KALEMBO
4. Said Mohamed MOHAMED (DIMWA)
5. Mwanamanga Juma MWADUGA
6. Ally Maulid OTHMAN
7. Ali Khamis MASUDI
8. Hassan Haji ZAHARA
NAFASI: MAKAMU MWENYEKITI WAZAZI TAIFA
1. Haidar Haji ABDALLA
2. Dkt. Wemael Allen CHAMSHANA
3. Fatma Abeid HAJI
4. Rachel Ntiganyigwa KABUNDA
5. Neema George MTURO
6. Zahoro Salehe MOHAMED
7. Dogo Idd MABROUK
Uchaguzi wa viongozi wa Jumuiya hizo kwa ngazi ya Taifa utafanyika tarehe 24-29 Novemba, 2022. Wagombea wote wanakumbushwa kuheshimu Kanuni za uchaguzi za CCM na misingi ya chama kwa kufanya siasa safi na kuzingatia maadili ya Chama wakati wote.
Aidha Orodha ya majina ya wagombea uongozi Chama na Jumuiya zake ngazi ya Mkoa yatatumwa katika mikoa husika.
KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI
Shaka Hamdu Shaka
Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa
Itikadi na Uenezi.
13 Novemba, 2022
Wagombea uvccm wakristo hawakujitokeza hata mmoja.Huyu Dr.wemael chamshana atatumikiaje mabwana wawili....
Anawania nafasi mbili KWA wakati mmoja!? Hakuna wenngine wenye sifa stahiki!? Zaidi yake!?....
Ama kweli Ccm ina wenyewe...
vipi huyu kapita tawi lenu lilee la wajeda
View attachment 2417524
[/QU Huyu hata Kiswahili hajui badala aseme kuwakilisha yeye anawakirisha.
Dini gani?UWT wasifanye makosa Kate Kamba anatosha.
Mkuu salamaa, nimekupata vema aise,No mimi ni CCM Nyerere, CCM Nyerere ni wapenda haki, tunapenda CCM ishinde kwa haki na sio kwa mbinu au figisu!. Tanzania hatuna any credible serious opposition. Je, CHADEMA inaweza kushinda 2020? Is it serious, credible & mature enough opposition?
P
Kila lenye heri,Hongera Sana