Uteuzi: Chuo cha Kumbukumbu ta Mwalimu Nyerere chapata Mkuu mpya. Wenyeviti wa Bodi nne waendelea na nyadhifa zao

Uteuzi: Chuo cha Kumbukumbu ta Mwalimu Nyerere chapata Mkuu mpya. Wenyeviti wa Bodi nne waendelea na nyadhifa zao

Boniphace Kichonge

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2017
Posts
1,605
Reaction score
1,957
Mhandisi Emmanuel Korosso anaendelea kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Kampuni ya Ndege Tanzania (ATCL)

Pia, Dkt. Alexander Lugatona Kyaruzi ameteuliwa kuwndelea kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO)

Wakati huo huo, Joseph Odo Haule anaendelea kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Mfuko wa Barabara (Road Fund Board) huku Dkt. Felician Bakamaza Kilahama akiendelea kuwa Mwenyekiti Bodi ya Wakurugenzi wa Taasisi ya Utafiti wa Misitu Tanzania (TAFORI)

Aidha, Rais Magufuli amemteua Prof. Shadrack S. Mwakalila kuwa Mkuu wa Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere kwa kipindi cha miaka miwili

.
FB_IMG_15733911033909024.jpeg
 
Hongera Magufuli kwa kujali Watanzania Endelea kuchapa kazi
 
Kuna wakati watu walihoji mbona kila post muhimu zilizo karibu na Mheshimiwa na zile Nyeti basi anateuliwa mtu ambaye kwa nyakati tofauti amewahi kuwa TANROAD wakati mheshimiwa alipo kuwa wizara ya barabara?
Leo tena aliyekuwa Meneja wa TANROAD mkoa wa Mwanza ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya ATCL. Kampuni ambayo sasa CAG haruhusiwi kugusa mizania yake ya hesabu, naye huyo bwana Emmanueli Korosso anasemekana kulikuwa na utatu mtakatifu akiwa TANROAD Mwanza, Kampuni ya Nyanza Road na waziri mhusika wakati huo kiasi cha kufanya Kampuni hiyo kulundikiwa kazi. Na hata sasa inapewa kazi hata bila zabuni kutangazwa.
Jee kunani huko TANROAD na awamu hii? Ni kweli kuwa kulikuwa na watendaji makini sana au ni Team mipango inaundwa?
Hizi team zinazo undwa na watu kupeana post zile nyeti na zinazohitaji usiri inaogofya na kifuatacho!
 
Mhandisi Emmanuel Korosso anaendelea kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Kampuni ya Ndege Tanzania (ATCL)

Pia, Dkt. Alexander Lugatona Kyaruzi ameteuliwa kuwndelea kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO)

Wakati huo huo, Joseph Odo Haule anaendelea kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Mfuko wa Barabara (Road Fund Board) huku Dkt. Felician Bakamaza Kilahama akiendelea kuwa Mwenyekiti Bodi ya Wakurugenzi wa Taasisi ya Utafiti wa Misitu Tanzania (TAFORI)

Aidha, Rais Magufuli amemteua Prof. Shadrack S. Mwakalila kuwa Mkuu wa Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere kwa kipindi cha miaka miwili

0F274CBC-A007-47EC-9AF6-B49FE9B07AD3.jpeg
 
Jibu ni moja kuficha ufisadi wa Magufuli aliofanya nyuma na anaofanya sasa.
 
Hongera Magufuli kwa kujali Watanzania Endelea kuchapa kazi

Sisi Watanzania tunakuunga mkono kwa 100%
 
Mhandisi Emmanuel Korosso anaendelea kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Kampuni ya Ndege Tanzania (ATCL)

Pia, Dkt. Alexander Lugatona Kyaruzi ameteuliwa kuwndelea kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO)

Wakati huo huo, Joseph Odo Haule anaendelea kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Mfuko wa Barabara (Road Fund Board) huku Dkt. Felician Bakamaza Kilahama akiendelea kuwa Mwenyekiti Bodi ya Wakurugenzi wa Taasisi ya Utafiti wa Misitu Tanzania (TAFORI)

Aidha, Rais Magufuli amemteua Prof. Shadrack S. Mwakalila kuwa Mkuu wa Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere kwa kipindi cha miaka miwili

Huyo Mkuu wa chuo Cha MNMA sio mpya. Jiridhishe kabla ya kuandika. Mwakalila anaendela banah.
 
Ateue tu ila haya Madudu anayoyatenda yatamtafuna yeye na Kizazi chake. Hawezi kukikwepa Kikombe hicho.
 
Tunawatakia kazi njema katika kujenga Taifa.
Nafasi walizopewa na Mh.Rais ni adimu na zinahitaji uchapakazi na kujitoa kulisaidia taifa.
Mungu Ibariki Tanzania.
 
Hivi mimi nakosea wapi?
Mbona teuzi zinanipita sana?
Uwege unaweka posts humu JF na mitandao mingine ya kijamii ukiweke CV yako, au kama vipi hata namba za simu, barua pepe na vinginevyo, nakuhakikishia wiki hii haitaisha utakuwa "mteule"
 
Kuna wakati watu walihoji mbona kila post muhimu zilizo karibu na Mheshimiwa na zile Nyeti basi anateuliwa mtu ambaye kwa nyakati tofauti amewahi kuwa TANROAD wakati mheshimiwa alipo kuwa wizara ya barabara?
Leo tena aliyekuwa Meneja wa TANROAD mkoa wa Mwanza ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya ATCL. Kampuni ambayo sasa CAG haruhusiwi kugusa mizania yake ya hesabu, naye huyo bwana Emmanueli Korosso anasemekana kulikuwa na utatu mtakatifu akiwa TANROAD Mwanza, Kampuni ya Nyanza Road na waziri mhusika wakati huo kiasi cha kufanya Kampuni hiyo kulundikiwa kazi. Na hata sasa inapewa kazi hata bila zabuni kutangazwa.
Jee kunani huko TANROAD na awamu hii? Ni kweli kuwa kulikuwa na watendaji makini sana au ni Team mipango inaundwa?
Hizi team zinazo undwa na watu kupeana post zile nyeti na zinazohitaji usiri inaogofya na kifuatacho!
Acheni majungu, watu wafanye kazi.
 
Back
Top Bottom