Mwanamaji
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 2,905
- 4,518
This time umekuja na agenda ya dini. MmmhMaza mdini sn
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
This time umekuja na agenda ya dini. MmmhMaza mdini sn
Hilo lipo waziThis time umekuja na agenda ya dini. Mmmh
Kama kuteua waislamu tena wenye uwezo na elimu basi na aendelee tu kuwa mdini.Maza mdini sn
Anatakiwa kusubiri nini ?Nani ambaye amekaimu? kuna haraka gani ya kuteua akiwa huko nje?
Kwani anakaa huko milele? anaingilia mamlaka ya anaye kaimuAnatakiwa kusubiri nini ?
Kiutaratibu anaruhusiwa kuteua wkati wowote, akiwa popote.
Sasa tueleze ni nini haswa alipaswa kukisubiri ?
Atakiona cha motoKama kuteua waislamu tena wenye uwezo na elimu basi na aendelee tu kuwa mdini.
Unataka ateue wa dini gani ili asiwe mdini kama ambavyo unamtuhumu mkuu ?Hilo lipo wazi
Atakiona cha moto
Hakika mkuu... Mimi natafuta kwa jasho, yeye anatafuta kwa kutapeli so hatuwezi kuwa sawa. michango ya wabunge aliyokuwa anawakata kila mwezi kwa muda wa miaka mitano amekusanya sh'ngapi? Na hii ndio sababu amekuwa mgumu kuwafukuza live kina mdee maana anajua fika watamdai hela zao. Hata hivyo inasemekana kuna baadhi ya wabunge wanataka kwenda kufungua kesi kudai makato yao.Mwenzako yupo ndani lakini familia inapata mahitaji yote tofauti na wewe huna hata uhakika wa kula
Anayekaimu hana mamlaka ya kuteua.Kwani anakaa huko milele? anaingilia mamlaka ya anaye kaimu
Huna cha kumfanya wala usijidanganye.Atakiona cha moto
Hata dikteta ilikuwa hivyo hivyo sahivi yupo wapi?Huna cha kumfanya wala usijidanganye.
Kwa katiba yetu rais ni mungu mtu.
Mi nikajua nchi iko chini ya Makamu w Rais.Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Dkt. Nicolaus Herman Shombe kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Taifa la Maendeleo (NDC)
Anachukua nafasi ya Marehemu Prof. Damian Gambagambi aliyefariki akiwa katika nafasi hiyo. Kabla ya kuteuliwa, Dkt. Shombe alikuwa Kamishna wa Mipango, Wizara ya Fedha
View attachment 1995326
Sasa aliyekuwepo amekufa unataka asiteuliwe mwengine au vipi?Ubaya upo mkuu, kuteua ni gharama sn huyo mtu analipwa vitu vingi na anayeondoka analipwa pesa ndefu sn
Bro usipoteze muda wako kubisha na malipyotoKwani Rais wa nchi si huwa anafanya kazi akiwa popote mkuu au mambo ni tofauti na ninavyofikiria ?
Hivi hii NDC imeleta tija gani kwenye Nchi kuna vitu vinafanyika mpaka mtu unaona watawala sijui wanawaza niniRais Samia Suluhu Hassan amemteua Dkt. Nicolaus Herman Shombe kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Taifa la Maendeleo (NDC)
Anachukua nafasi ya Marehemu Prof. Damian Gambagambi aliyefariki akiwa katika nafasi hiyo. Kabla ya kuteuliwa, Dkt. Shombe alikuwa Kamishna wa Mipango, Wizara ya Fedha
View attachment 1995326
Tatizo uelewa wako nao ni changamoto, mimi nimeongelea teuzi kwa ujumlaSasa aliyekuwepo amekufa unataka asiteuliwe mwengine au vipi?
Katoka damian kingia nicholasHapa kwa vile kateuliwa mkristo wanywa divai huwezi kuta wanaimba wimbo wa udini.
Hapo utaambiwa elimu yake ndo inambeba.
Akiteuliwa mvaa kobazi mama mdini anapendelea wa imani yake.