B bitimkongwe JF-Expert Member Joined Oct 21, 2009 Posts 7,794 Reaction score 7,551 Nov 2, 2021 #41 Babati said: Tatizo uelewa wako nao ni changamoto, mimi nimeongelea teuzi kwa ujumla Click to expand... Tatizo na wewe una hasira na kila analotenda rais alimradi maneno maneno maneno......
Babati said: Tatizo uelewa wako nao ni changamoto, mimi nimeongelea teuzi kwa ujumla Click to expand... Tatizo na wewe una hasira na kila analotenda rais alimradi maneno maneno maneno......
P pye Chang shen JF-Expert Member Joined Jul 11, 2016 Posts 11,422 Reaction score 6,108 Nov 2, 2021 #42 Babati said: Hatujawahi kuona hivyo kwa JK wala JPM huyu kazidi Click to expand... Kwa jk sijui ila jpm namtetea kwenye hili kwani aliwahi kusafiri inje japo mara moja? Sasa angeteuwaje akiwa inje? 😂🤣🤣
Babati said: Hatujawahi kuona hivyo kwa JK wala JPM huyu kazidi Click to expand... Kwa jk sijui ila jpm namtetea kwenye hili kwani aliwahi kusafiri inje japo mara moja? Sasa angeteuwaje akiwa inje? 😂🤣🤣
Prince Kunta JF-Expert Member Joined Mar 27, 2014 Posts 22,797 Reaction score 28,904 Nov 2, 2021 #43 Enzi za mwendazake tungetaka kujua anatokea kanda gani katika Jamhuri ya Muungano
kibali JF-Expert Member Joined Oct 3, 2011 Posts 504 Reaction score 425 Nov 2, 2021 #44 Babati said: Hii kazi ya kuteua anaiweza sn hakuna kingine Click to expand... Hahaha namfananisha sana na yule mzee alikuwaga anazunguka na mkasi wa kuzindua
Babati said: Hii kazi ya kuteua anaiweza sn hakuna kingine Click to expand... Hahaha namfananisha sana na yule mzee alikuwaga anazunguka na mkasi wa kuzindua
and 300 JF-Expert Member Joined Jun 27, 2012 Posts 26,398 Reaction score 36,406 Jul 31, 2022 #45 Well noted