UTEUZI: Jaffar Haniu ateuliwa kuwa Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais (Ikulu); amrithi Gerson Msigwa

hamna shida ni bora apange na kupangua kadiri anavyotaka na kujaaliwa, ili hapo baadae isije ikatuwa lawama kwa waliokuwepo kwamba hawakuwa chaguo lake,ifike siku tujue ameishaclear vilivyoachwa na sasa ni vyake ili tufaidi mambo yake .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…