Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nifundishe jinsi ya kuandika bossLainisha lugha tafadhali....hapo imekuwa ngumu kweli kweli
Siwezi kumfahamu kwa sababu siyo mwana ccmMimi sina Chama. Tumwagie CV yake hapa.
Huu ndio ukweliShame on you
Amebaki wapi sasa!!??Msigwa hoi
Hapo umeuliza swali au umenena kauli?Kwani dk. Abbas na Msingwa enzi za mwendazake walikua kitu kimoja
Kumbuka Vice P ni Dr. Mpango, PM ni Majaliwa... Tusiwe wepesi wa kusahauNaona team jiwe yoote inafutiliwa mbaali
Fagio linaanzia uvunguni linapanda pole poleKumbuka Vice P ni Dr. Mpango, PM ni Majaliwa... Tusiwe wepesi wa kusahau
Unamaanisha!!?Hajiri
Msigwa alikuwaje kichefuchefu . Acha unafiki nduguAlikuwa kichefu chefu sana
Alikuaga TBC
Baadaye akaenda azam kama sikosei
Alikua TBC muda mrefu sana JPM alipoenda Ikulu akamvuta Ikulu alikua msaidizi wa Msigwa.Aliwahi kushika hiyo nafasi kabla hajaenda kuwa mkurugenzi wa media za ccm... Japhar haniu alioa tanga huyu 😀
Hili Swali kwanini hukuliuliza wakati wa mwendazake?Kwa nini msemaji mkuu wa serikali awe tofauti na mkurugenzi wa mawasiliano ya Rais, Ikulu?
Mmoja anahusika zaidi na mambo ya ofisi ya rais kama teuzi na tenguzi za rais, mwingine anahusika mambo ya serikali nzima kama kujibu habari za Tanzania kujihusisha kuuzia silaha waasi Burundi.Kwa nini msemaji mkuu wa serikali awe tofauti na mkurugenzi wa mawasiliano ya Rais, Ikulu?
Kazi maalum?Msigwa sasa atakuwa kama GeorgeMkuchika ambaye ni Waziri katika ofisi ya rais KAZI MAALUMU!!
Atakua anamaana ya pale state house.Kumbuka Vice P ni Dr. Mpango, PM ni Majaliwa... Tusiwe wepesi wa kusahau
Anaogopa kumtoa majaliwa kwenye uprime ministers. Kwasababu serikali yake itakuepo total failureKumbuka Vice P ni Dr. Mpango, PM ni Majaliwa... Tusiwe wepesi wa kusahau
Nimesahau, kumbe alivyokuaa ikulu alikuwa msaidizi wa msingwa? Sio kwamba yy ndio alikuwa mkuu wa mawasiliano kipindi msigwa yupo songea huko 😂😂😂Alikua TBC muda mrefu sana JPM alipoenda Ikulu akamvuta Ikulu alikua msaidizi wa Msigwa...
Kwanini mkuuAnaogopa kumtoa majaliwa kwenye uprime ministers. Kwasababu serikali yake itakuepo total failure