UTEUZI: Jaffar Haniu ateuliwa kuwa Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais (Ikulu); amrithi Gerson Msigwa

UTEUZI: Jaffar Haniu ateuliwa kuwa Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais (Ikulu); amrithi Gerson Msigwa

Tumewafyekeeeeleeeeeeaaaaaaaaa mbaaaaaliiiiiiiii .

Hutaki hama nchi
Sihami na huna uwezo wowote ule wa kunifanya chochote kile zaidi ya kuandika utumbo wako JF.

You wouldn’t even dare to say anything to my face.

Facts.
 
Sihami na huna uwezo wowote ule wa kunifanya chochote kile zaidi ya kuandika utumbo wako JF.

You wouldn’t even dare to say anything to my face.

Facts.
Maumivu yakizidi kunywa limao.
Mama Samia tunamuongezea 5 tenaaaaaaaaaaa
 
Hahaha!

Jen Psaki ni White House spokeswoman.

Ila kila wizara ina msemaji wake mkuu.

Nadhani hivyo ndivyo inafaa iwe.

But I digress. Nisije kuambiwa nahoji kisa simpendi huyo Mama.

Manake sasa hivi hatupaswi kuhoji chochote kile.
Marekani kwa muundo wao msemaji wa serikali ni rais.

Inaondoa utata kama uliotokea pale Dr. Abbas alipotafsiri vibaya maneno ya rais na baadaye kuishia kuomba radhi.
 
Nimesahau, kumbe alivyokuaa ikulu alikuwa msaidizi wa msingwa? Sio kwamba yy ndio alikuwa mkuu wa mawasiliano kipindi msigwa yupo songea huko 😂😂😂
Hahahaaa Hapana mkuu. Hawa na JPM ni marafiki sana walishibana toka kwenye kile kipindi maalum waliandaa cha kusafiri kwa gari ndogo(saloon) toka Mtwara mpaka Bukoba kuonyesha mafanikio ya lami(Akiwa waziri walisafiri nae na makamera,kipindi kilioneshwa TBC wiki nzima hatua kwa hatua)

Na yule mwingine pia alisafiri nae kwenye kampeni alimvuta Ikulu pia

Huyu Haniu kuna Press Reales alikua anatoa kwa niaba ya Msigwa enzi zile za Sefue akionekana tu ujue mtu kala shoti. Na alikua anasaini kwa cheo hicho cha kukaimu
 
Amteua Bw. Jaffar M. Haniu kuwa Mkurugenzi wa mawasiliano ya Raisi (Ikulu)
View attachment 1813333
Rais Ni Samia Suluhu
Chief Secretary Ni Katanga
Katibu Wa Rais Ni Juma Suleiman
Chief of Protocol Ni Yusuph Mndolwa
DPC Wa Rais Ni Jaffary Haniu

Katika Wasaidizi Binafsi Katika Ofisi Ya Rais Ikulu (OBR) Ambao Jumla Ni 8, Wasaidizi 6 ni Waislamu na Wasaidizi 2 Tu Ndio Wakristo, Ambao Ni Felister Mndeme Maendeleo Ya Jamii na Nehemiah Mandia Sheria
 
Marekani kwa muundo wao msemaji wa serikali ni rais.

Inaondoa utata kama uliotokea pale Dr. Abbas alipotafsiri vibaya maneno ya rais na baadaye kuishia kuomba radhi.
Kwa mazingira ya sasa ni vigumu hata kutoa maoni jinsi ya kuboresha utoaji na uenezi wa habari bila kuambiwa unamchukia huyo mama!

Tuna jamii yenye watu wajinga wengi mno.
 
Back
Top Bottom