Naona hata ww umekubaliana hapo kwenye ushindi wa JPM πBalali Oyeeee
Kumbe na makelele yote hapo Lumumba hujui kuwa waziri hana mshahara!!???Sasa mtu unatenguliwa trh 21 kabla ya mshahara, kwahy hapo Bwana Nape atalipwa mshahara wa Waziri au mbunge π
Si heri iwe hivyo bro, itakuwa vyepesi kwetuMama ajipange. Kama hakujifunza kwa kilichompata Magu akicheka nao atakuta yuko nje ya ulingo. Akiweza awatie ndani kifungo cha maisha
Wewe bado mdogo huijui dunia , omba uhai Mungu akupe umri yapo mengi ya kushuhudia ambayo macho yako hayaoni kwa sasa"Pamoja na kubadili dini ili agombee 2030 kama Mkristo" January ameliwa kichwa!
Tamaa ya Urais inamponza. Angekubali ku-give up mbio za kutaka Urais.
SawaKumbe na makelele yote hapo Lumumba hujui kuwa waziri hana mshahara!!???
Kweli CCM ni hazina ya vilaza.
Mkuu unajua umenifanya Nicheke sana Usiku huu? Halafu wote ukiwakuta wanajifanya wanajua wakati ni Madebe tupu.Mtu kapata Div 4 akaenda kusoma City College Bangalore India akili anapata wapi?.
Mwingine ni mwizi wa mitihani Galanos pale sema ana ngekewa.
Mwakani ana jambo lake saiv atazibuka masikio halafu uchaguzi ukiisha tegemea madudu mengi mara 10 ya hayaTangu nimemjua mama, nadhani hili ndio jambo la msingi la mwanzoni kabisa amefanya
Leo ntalala usingizi mororo mahi πΉπΉπΉWabongo tunapenda mitumbuliko basi leo tutalala usingizi mzuri wakati watumbuliwq hawachukuliwi hatua yoyote ndo kwanza wanaenda kula kwa nafasi mavuno waliyopata,
Mkuu unajua umenifanya Nicheke sana Usiku huu? Halafu wote ukiwakuta wanajifanya wanajua wakati ni Madebe tupu.
relax then gentleman πNi kweli kabisa si kwa bahati mbaya haya yametokea ,yamepangwa yaka pika na kuiva.