Leejay49
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 16,388
- 51,970
Wamfikirie na yeye jamani,.Huyu jamaa anajua kusepa na kijiji, japo contents zake ni za kiwaki sana 🤣🤣🤣
Anajitoa sana kumsifia mama😑
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wamfikirie na yeye jamani,.Huyu jamaa anajua kusepa na kijiji, japo contents zake ni za kiwaki sana 🤣🤣🤣
Hakika sema Mwamba huyu anajua kuandika vizuri na anapangilia vizuri mada. Dk 10 tu unakuta tayari ana replies zaidi ya 70.🤣🤣🤣Wamfikirie na yeye jamani,.
Anajitoa sana kumsifia mama😑
Yeah ni kweli ana kipajiHakika sema Mwamba huyu anajua kuandika vizuri na anapangilia vizuri mada. Dk 10 tu unakuta tayari ana replies zaidi ya 70.🤣🤣🤣
Tuliambiwa anapewa LucasKuna nafasi wazi ya uDC pale Songwe
Alikuwa anafanya kazi nzuri sana..Ni mambo ya kawaida katika utumishi wa Umma.Ndio Maana ya cheo ni Dhamana.
Kwa Kila jambo na wakati wake na majira yake kwa kusudi maalum chini ya mbingu.Alikuwa anafanya kazi nzuri sana..
Chawa wa Chama 🤣🤣🤣Kwa hiyo unafikiria mimi ni nani 😀😀
Ameshindwa kusema kuhusu ugonjwa wa maburg!Embu tizama hapa👇View attachment 3204606
Prof arudi Muhas akapige kazi. Uongozi ni koti la kuazima.Embu tizama hapa👇View attachment 3204606
Labda sakata la virus vya MarburgKwanini Professor Nagu katumbuliwa Kafanya Kitu gani
Hahaha atapata nafasi ya kusafisha zile yutong za chamaNilivyokuja mbio mbio Nikajua Luka na wewe umepata safari hii,.
Anyways Mungu awatangulie kwenye majukumu yao mapya
Ukijua sababu kwanini aliteuliwa unaweza usihoji sana kwanini aliteuliwa.Kwanini Professor Nagu katumbuliwa Kafanya Kitu gani
Cheo ni DhamanaLabda sakata la virus vya Marburg