Uteuzi Polisi Trafiki ufanywe na kitengo maalum kati ya TISS , TAKUKURU na Polisi Makao Makuu badala ya RPC wa mikoani

Uteuzi Polisi Trafiki ufanywe na kitengo maalum kati ya TISS , TAKUKURU na Polisi Makao Makuu badala ya RPC wa mikoani

peno hasegawa

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2016
Posts
14,255
Reaction score
23,949
Sasa ni wakati wa kupindua meza trafic police wachaguliwe na kitengo maalum badala ya kuteuliwa na maRPC wa mikoa kwenda kuwakusanyia fedha barabarani.

Iwapo MaRPC Watson dolerà jukumu hilo Jeshi la polisi litaluwa Jeshi la kisasa lisilo na rushwa barabarani.

RPC akimteua trafic lazima umpelekee Asante kila Ijumaa ofisini kwake hata mimi nimechoka kupeleka fedha kwa RPC wangu na usipopeleka fedha za kutosha kila wiki unahishiwa field force unit, maana yake lazima uchukue fedha barabarani kwa gharama yoyote.

IGP anza na hili utafanikiwa sana.
 
Kila mbuzi anakula urefu wa kamba yake mkuu!! Nawe piga kwenye kitengo chako
 
Kosa kubwa serikali wamegeuza makosa ya barabarani kama biashara kubwa sana kwao!
Wamngeamua tu kwamba ukifamya kosa lazma trafiki akukalishe dk 15 kukupa somo la usalama.barabarani na bila kulipa chochote! hii ni adhabu moja kubwa sana! itaondoa rushwa!
 

Attachments

  • B3C06768-AFDD-4349-9226-F6A68ADB702A.jpeg
    B3C06768-AFDD-4349-9226-F6A68ADB702A.jpeg
    34.9 KB · Views: 19
Kosa kubwa serikali wamegeuza makosa ya barabarani kama biashara kubwa sana kwao!
Wamngeamua tu kwamba ukifamya kosa lazma trafiki akukalishe dk 15 kukupa somo la usalama.barabarani na bila kulipa chochote! hii ni adhabu moja kubwa sana! itaondoa rushwa!
😂😂😂😂
 
Zoezi hili la Pro-Kinana.


Ndugu zangu, Maaskari wengi walokua wa Barabarani , WAMELAZIMIKA KUTOA RUSHWA KUBWA KUBWA ili waendelee kubaki barabarani.

Hii Nchi
 
Back
Top Bottom