Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inaaonekana Lissu anakupiga show za sehemu za siriLisu atapinga
Hivi Luhanga ni Msukuma? VimezidiWasukuma oyee naona bado hatushikiki
Refer to Luhanga MpinaHivi Luhanga ni Msukuma? Vimezidi
Duh yaani hata mkienda.chooni kwa sasa huwa mnaogopa Lissu acje akawaonaLisu atapinga
I have never enquired to know that! ... kweli ni wa KisesaRefer to Luhanga Mpina
Refer to Luhanga Mpina
Refer to Luhanga Mpina
NdiyoHivi Luhanga ni Msukuma? Vimezidi
Wasukuma oyee naona bado hatushikiki
Professor Matthew Luhanga unamuita mpuuzi?Uyu mpuuzi proffesor kakata PESA Za wanafunzi za boom ili ateuliwe wanafunzi wa mzumbe campus zote boom la mwisho tumepewa laki180
Huu ni unyanyasaji.
Ufaulu wa darasani si uelevu na uweledi katika maisha.Professor Matthew Luhanga unamuita mpuuzi?
Hakika una matatizo ya kuongea juu ya watu usiowajua.
Prof. Matthew Luhanga ni Mwalimu wangu, miaka kadhaa kabla hajawa Chief Academic Officer wala Vice Chancellor wa University of Dar es Salaam.
Huyu msomi mahiri yupo kwenye kundi dogo sana la Watanzania ambao Mungu amewajalia 'bongo' iliyozidi kiwango.
Std 12 alipata, kwa viwango vya sasa, 'A' masomo yote.
Std 14 alipata 'A' zote.
Chuo Kikuu cha California, Marekani, shahada ya kwanza ya Uhandisi Umeme alipata 'B+' moja, nyingine zote 'A', kuanzia mwaka wa kwanza mpaka mwaka wa nne.
Kwa hakika, kwangu mimi Mwanafunzi wa Prof. Luhanga, nimekwazika kwa kitendo chako cha kukosa heshima na kutumia maneno yasiyofaa juu ya Msomi Mahiri sana.
Ufaulu wa darasani na u-Vice Chancellor kwa takriban miaka 18, bado unatilia shaka uelevu na uweledi katika maisha?Ufaulu wa darasani si uelevu na uweledi katika maisha.
Unaloliona wewe zuri kwa wenzio ni tofauti.
Usilazimishe mfanane pia asiyekujua hakuthamini.
Namuombea msamaha huyo aliyekukwaza.
Pombe sio chai..kwa hiyo wewe unazani na hizo A zake cjui B+ ndo asiwe mwizi wa hela za wanafunzi wa chuo?? Nazani hujielewi na wewe..pole yako..kumbe amekurithishaa tabia kama mwalimu wakoProfessor Matthew Luhanga unamuita mpuuzi?
Hakika una matatizo ya kuongea juu ya watu usiowajua.
Prof. Matthew Luhanga ni Mwalimu wangu, miaka kadhaa kabla hajawa Chief Academic Officer wala Vice Chancellor wa University of Dar es Salaam.
Huyu msomi mahiri yupo kwenye kundi dogo sana la Watanzania ambao Mungu amewajalia 'bongo' iliyozidi kiwango.
Std 12 alipata, kwa viwango vya sasa, 'A' masomo yote.
Std 14 alipata 'A' zote.
Chuo Kikuu cha California, Marekani, shahada ya kwanza ya Uhandisi Umeme alipata 'B+' moja, nyingine zote 'A', kuanzia mwaka wa kwanza mpaka mwaka wa nne.
Kwa hakika, kwangu mimi Mwanafunzi wa Prof. Luhanga, nimekwazika kwa kitendo chako cha kukosa heshima na kutumia maneno yasiyofaa juu ya Msomi Mahiri sana.