Zanzibar-ASP
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 11,550
- 40,697
👍Au alizaliwa kabla ya Necta?
Nilichokumbusha ni nafasi ya uteuzi kuwa ni ya kupita tu....lengo ni Tanzania kuendelea hadi dahari💪Mbona kama una hasira! Watu wanasifia tu utendaji kazi wake mzuri na ulio tukuka! Na hasa kudhibiti udanganyifu kwa sehemu kubwa, lakini pia kuitoa NECTA kutoka kwenye mfumo wa kusahihisha mitihani kwa kutumia kalamu, mpaka kwenye kutumia computer!
Kwa mafaniko haya machache, watu wana haki ya kuulizana maswali ya hapa na pale.
YcsKuna mahali fulani fulani nimesikia kuwa msingi wa huu uteuzi umekaa kimkakati wa BAKWATA!
Kuna mgalatia alikuwa anang'olewa pale NECTA ili mfilisti awekwe pale, halafu ile michezo ya kuwabeba wanafunzi wa dini fulani ili kwenda sambamba kwa pamoja kiwiano iende fresh. Hizo hamisha hamisha zingine ni kuzuga tu ili wajinga wasielewe mchezo kirahisi.
Alianza Profesa Joyce kutolewa pale wizara ya elimu, sasa amefuata Dr. Charles kuondoka pale NECTA........
Mama endelea hivyo hivyo kuupiga mwingi mpaka akili za walishwa mashonde na divai ziwakae vizuri.
Dah mwamba alikuwa mchapa kazi sana.
Hongera kwa promotion
Dk Msonde
Analetwa bakwata paleHapana kabisa kumuondoa Charles Msonde NECTA ni kuua uadilifu kabisa. Boss huyu aliiweza NECTA. Heshima ya mitihani ikajitokeza. Mifuko ya kidigitali kusahihisha mitihani. Matokeo kwa haraka mno tena yakiwa perfect kabisa. Leo hii anapekekwa Tamisemi kusibiri maekekezo. Not fair. Au ndiyo Yale malalamiko ya upande wa pili kuwa Mkristo anakandakiza? Hakuns Katibu wa NECTA ambaye hakuwahi kulalamikiwa na hao Jamaa. Sasa tunasubiri jina litakaloteuliwa ndiyo tutapima ukweli.
Pengine atakayeteuliwa na kupelekwa pale atakuwa ni mzuri zaidi kiutendaji na kiuadilifu Pia Kama huyo Msonde au hata kumzidi huyo Msonde!Hapana kabisa kumuondoa Charles Msonde NECTA ni kuua uadilifu kabisa. Boss huyu aliiweza NECTA. Heshima ya mitihani ikajitokeza. Mifuko ya kidigitali kusahihisha mitihani. Matokeo kwa haraka mno tena yakiwa perfect kabisa. Leo hii anapekekwa Tamisemi kusibiri maekekezo. Not fair. Au ndiyo Yale malalamiko ya upande wa pili kuwa Mkristo anakandakiza? Hakuns Katibu wa NECTA ambaye hakuwahi kulalamikiwa na hao Jamaa. Sasa tunasubiri jina litakaloteuliwa ndiyo tutapima ukweli.
Why ?.Necta itapooza sana.
Hongera yao kwa kuteuliwa ila wachape kazi
Msonde katolewa ili awekwe mvaa kobaziDah mwamba alikuwa mchapa kazi sana.
Hongera kwa promotion
Dk Msonde
Pia inawezekana ikawa aliyeondolewa alikuwa nje ya maadili ya kiafrika,Msonde katolewa ili awekwe mvaa kobazi