Uteuzi: Rais Samia amteua Majaba Shabani Magana kuwa Kamishna wa Kitengo cha Kudhibiti Fedha Haramu (FIU)

Uteuzi: Rais Samia amteua Majaba Shabani Magana kuwa Kamishna wa Kitengo cha Kudhibiti Fedha Haramu (FIU)

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Wakuu,

Screenshot_20241213_184649_Instagram.jpg
 
Kila la kheri kwa wateuliwa..
Mama mitano tena
IMG-20241007-WA0000.jpg
 
Bana anarud jalalan?

Kaleta impact gan Kwa taifa tangu awe Nigeria?

Wasomi wetu hopeless kabisa
 
Majaba Shabani Magana , huko Azania alikuwa mtumishi wa Umma??
Au ndio kwanza anakwenda kuwa mtumishi wa Umma?
Walioko mtaani na ni wasomi inakuwaje hawakumbukwi kwenye nafasi kama hizi?
 
Kitengo cha Kudhibiti Fedha Haramu (FIU),ofisi zao ziko wapi na hiki kitengo Kiko chini ya wizara ipi?
 
Back
Top Bottom