Kuna mtu katenguliwaHivi uyo ndo anachukua nafas ya yule mwalimu wa cwt aliegomea uteuzi au?
Ushalewa nenda nyumbani mapema utaibiwa na wahudumuSixtus mapunda si alkuwa yule padri? au nachanganya mambo
Mngoni fulani alikuwa raised kupitia UVCCM akapata ubunge wa Mbinga... Ni debe tupu fulaniHuyo sixpacks ndiye nani?
UKIONA MTU ANAOMBEWA CHEO JUA HANA SIFA HUYU HAPATI UDC AU UDED NI MNAFIKI SANAMama Tunaomba usimsahau Pascal Mayalla umteue lakini unampita Kama haumuoni ebu Mama muonee Huruma huyu Jamaa mpambanaji wako jasiri.
Kama UVCCM wote walivyo empty debes.Mngoni fulani alikuwa raised kupitia UVCCM akapata ubunge wa Mbinga... Ni debe tupu fulani
Hizi teuzi hizi!!!!! Bora kuwa mjasiliamali.Kuna mtu katenguliwa
Huyo sixpacks ndiye nani?
Magufuli bwana,huyu sijui alimkosea nini.Hivi yule aliyemkula Jokate yupo tarafa gani siku hizi?Ni kijana wa CCM,aliwahi kuwa katibu mkuu wa UVCCM Taifa na mbunge wa Jimbo la Mbinga Mjini 2015-2020
Aliongoza kura za maoni CCM mwaka 2020 lkn Magufuli alikata jina
Yule alikuwa sixtus KimaroSixtus mapunda si alkuwa yule padri? au nachanganya mambo