Uteuzi: Stephen Kagaigai ateuliwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya TBC

Uteuzi: Stephen Kagaigai ateuliwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya TBC

Lady Whistledown

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2021
Posts
1,147
Reaction score
2,008
Rais Samia Hassan amemteua Eric Benedict Iamissi kuwa Mkurugenzi wa Kampuni ya Huduma za Meli (MSCL). Kabla ya uteuzi huo alikuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA)

Pia, Stephen Nzohabonayo Kagaigai ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) Anachukua nafasi ya Balozi Herbert E Mrango ambaye amemaliza kipindi chake.

1C0586FF-7CC1-46C3-A9E6-00C27778EDA2.jpeg
 
Watu wanazidi kulamba asali sasa sijui hii ya nyuki wadogo au wakubwa?
 
Kabla ya kupelekwa kuwa RC Kilimanjaro, Ndugu Kigaigai alikuwa Katibu wa Bunge la Tanzania, akichukua nafasi ya Kashilila.

Wiki iliyopita aliondolewa kwenye Ukuu wa Mkoa , lakini leo ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa bodi ya Shirika la Utangazaji (TBC).

Tunamtakia kila la heri kwenye majukumu yake mapya.
 
Kabla ya kupelekwa kuwa RC Kilimanjaro, Ndugu Kigaigai alikuwa Katibu wa Bunge la Tanzania, akichukua nafasi ya Kashilila.

Wiki iliyopita aliondolewa kwenye Ukuu wa Mkoa , lakini leo ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa bodi ya Shirika la Utangazaji (TBC).

Tunamtakia kila la heri kwenye majukumu yake mapya.
Nafikiri angalau hiyo ndio size yake
 
Watumishi wa umma hadi utemwe mazima lazima iwe personal issue. Ni kuroteti tu kwenye korido.
 
Back
Top Bottom