Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Kamanda lakini daah😅Kabisa ! huyu japokuwa ni Alhaji lakini pia ni Kamanda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kamanda lakini daah😅Kabisa ! huyu japokuwa ni Alhaji lakini pia ni Kamanda
Kova jitu katili, leo eti mwenyekiti wa taasisi ya dini. Nimesema siku zote kuwa hakuna mufti wala askofu, zote ni takatakaMufti wa Tanzania amemteua aliyekuwa RPC wa Dar es Salaam , Alhaji Suleiman Kova kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Maboresho ya BAKWATA .
Uteuzi huu umekuja kufuatia kujiuzulu ghafla kwa Mwenyekiti wa awali Sheikh Issa Othman , ambaye amefanya kazi hiyo kwa miezi mitatu tu , Sheikh Issa Othman ameachia ngazi kwa madai ya kukumbana na vikwazo vizito kwenye utekelezaji wa Majukumu yake .
Kila la heri Alhaji Kova
Mkuu inaonekana umechukia sana.Kova jitu katili, leo eti mwenyekiti wa taasisi ya dini. Nimesema siku zote kuwa hakuna mufti wala askofu, zote ni takataka
Ipo ziku na Kingai atakuwa Shekhe😅😅Kova jitu katili, leo eti mwenyekiti wa taasisi ya dini. Nimesema siku zote kuwa hakuna mufti wala askofu, zote ni takataka
Labda sikuweka vema mawazo yangu.
Naumizwa na jinsi Bakwata imekua ikiwahujumu na kulalamikiwa na waislam wenyewe. Ni walafi na wameshindwa kusimamia rasilimali vema kama taasisi zingine za dini.
Hapo ndiyo ilipo hoja yangu. Napenda nione wana thrive na kufanikiwa kama taasisi zingine za kidini.
Lazima kama taifa sote twende mbele. Wengine wakiwa wakiwa na nyumanyuma ni ulegelege wa mustakabali wa taifa.
Wala sikua ninakashifu waislamu.
I reckon am understood here mama D! 🤝🏾
Ndo taabu,Bakwata ni kikundi cha wahuni.
Sema tatizo la wale wa upande wa pili wakata njiwa wakorofi sana.
Mpaka leo bado mnalia na Nyerere badala ya kutafuta suluhu !Ndio maana tunasema BAKWATA ni tawi la kisiasa la chama Fulani ..Nyerere alitukosea Sana waislamu kutuundia dubwana..
Sheikh Issa Othman ameachia ngazi kwa madai ya kukumbana na vikwazo vizito kwenye utekelezaji wa Majukumu yake .[emoji3064][emoji848]Mufti wa Tanzania amemteua aliyekuwa RPC wa Dar es Salaam , Alhaji Suleiman Kova kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Maboresho ya BAKWATA .
Uteuzi huu umekuja kufuatia kujiuzulu ghafla kwa Mwenyekiti wa awali Sheikh Issa Othman , ambaye amefanya kazi hiyo kwa miezi mitatu tu , Sheikh Issa Othman ameachia ngazi kwa madai ya kukumbana na vikwazo vizito kwenye utekelezaji wa Majukumu yake .
Kila la heri Alhaji Kova
Patachimbika. Ponda huwa hana kupinda pindaShkhe Ponda awe msaidizi wa Kova
Hapatatosha KabisaShkhe Ponda awe msaidizi wa Kova
Kwani nani aliunda Bakwata? Hao ni TissNimekuelewa mkuu
Kama waislamu wenyewe wanahujumu chombo chao cha Bakwata ni shida ya uislamu.
Ingekua wamehujumiwa wakawekewa viongozi wabudha, au wakristo, au wahindu, au wapagani ingekua shughuli
Lakini dini yao, chombo chao, viongozi wao
Warudi kwenye misingi ya imani watengeneze wanachotaka
Sie Wacha tushike jembe tukalime
Mzimu wake CCM upo haujafaMpaka leo bado mnalia na Nyerere badala ya kutafuta suluhu !
Kova na ujambazi na uuaji wake kumbe ni alhaji!Mufti wa Tanzania amemteua aliyekuwa RPC wa Dar es Salaam, Alhaji Suleiman Kova kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Maboresho ya BAKWATA.
Uteuzi huu umekuja kufuatia kujiuzulu ghafla kwa Mwenyekiti wa awali Sheikh Issa Othman, ambaye amefanya kazi hiyo kwa miezi mitatu tu, Sheikh Issa Othman ameachia ngazi kwa madai ya kukumbana na vikwazo vizito kwenye utekelezaji wa Majukumu yake.
Kila la heri Alhaji Kova
We thubutuShkhe Ponda awe msaidizi wa Kova
Mtu ana miaka 38 toka ametoka madarakaniMzimu wake CCM upo haujafa
Wayahudi mpk leo wanamlaani HITLER kuwatenda.Mtu ana miaka 38 toka ametoka madarakani
Ana miaka 24 toka amefariki
Lakini mpaka leo bado mnalia lia badala ya kutafuta suluhisho. Hapo hamuoni kuwa ninyi ndio wenye shida !
Mtu ana miaka 38 toka ametoka madarakani
Ana miaka 24 toka amefariki
Lakini mpaka leo bado mnalia lia badala ya kutafuta suluhisho. Hapo hamuoni kuwa ninyi ndio wenye shida !
😆🤣😂Mwinyi alitaka kuvunja 1990s,mufti wa wakati huo hemed bin jumaa,akamwambia 'inaelekea Nyerere hakukwambia bakwata ni nini!'..
Punguza kunywa Gahawa! Hayo maongezi ya Mwinyi na Mufti uliyasikia ukiwa eneo gani pale Ikulu? Chuki Chuki Chuki!Mwinyi alitaka kuvunja 1990s,mufti wa wakati huo hemed bin jumaa,akamwambia 'inaelekea Nyerere hakukwambia bakwata ni nini!'..mwinyi akawaambia waislam waanzishe taasisi zingine,uchaguzi wa mufti bakwata hujaa maafisa vipenyo ili akalie kiti anayeaminika, waislam ukiwaacha wakawa na umoja na bila kudhibitiwa wataiendesha nchi,wataweka rais wamtakae nk..ndiyo Imani ya 'wenyewe'
Afadhali umedhihirisha chuki zako.Wayahudi mpk leo wanamlaani HITLER kuwatenda.
Sasa unashangaa nini waislamu kumlaumu laanatullahi nyerere kwa kuwawekea Chombo cha kuwadhibiti ambacho mpk leo kinasimamiwa na serikali?
We mgalatia Achana na waislamu watajijua kivyao.
Shughulika na wale wachungaji wanao lazimisha kina mama waje makanisani bila nguo za ndani.
Au wale wanaouza maji ya Azam chupa dola 100 wakidai ni ya upako na uzima wa milele.
Nyau wahedi