Uteuzi: Suleiman Kova ateuliwa kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Maboresho ya BAKWATA

Uteuzi: Suleiman Kova ateuliwa kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Maboresho ya BAKWATA

Mufti wa Tanzania amemteua aliyekuwa RPC wa Dar es Salaam , Alhaji Suleiman Kova kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Maboresho ya BAKWATA .

Uteuzi huu umekuja kufuatia kujiuzulu ghafla kwa Mwenyekiti wa awali Sheikh Issa Othman , ambaye amefanya kazi hiyo kwa miezi mitatu tu , Sheikh Issa Othman ameachia ngazi kwa madai ya kukumbana na vikwazo vizito kwenye utekelezaji wa Majukumu yake .

Kila la heri Alhaji Kova
Kova jitu katili, leo eti mwenyekiti wa taasisi ya dini. Nimesema siku zote kuwa hakuna mufti wala askofu, zote ni takataka
 
Labda sikuweka vema mawazo yangu.
Naumizwa na jinsi Bakwata imekua ikiwahujumu na kulalamikiwa na waislam wenyewe. Ni walafi na wameshindwa kusimamia rasilimali vema kama taasisi zingine za dini.
Hapo ndiyo ilipo hoja yangu. Napenda nione wana thrive na kufanikiwa kama taasisi zingine za kidini.
Lazima kama taifa sote twende mbele. Wengine wakiwa wakiwa na nyumanyuma ni ulegelege wa mustakabali wa taifa.

Wala sikua ninakashifu waislamu.

I reckon am understood here mama D! 🤝🏾

Nimekuelewa mkuu

Kama waislamu wenyewe wanahujumu chombo chao cha Bakwata ni shida ya uislamu.
Ingekua wamehujumiwa wakawekewa viongozi wabudha, au wakristo, au wahindu, au wapagani ingekua shughuli
Lakini dini yao, chombo chao, viongozi wao
Warudi kwenye misingi ya imani watengeneze wanachotaka

Sie Wacha tushike jembe tukalime
 
Mufti wa Tanzania amemteua aliyekuwa RPC wa Dar es Salaam , Alhaji Suleiman Kova kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Maboresho ya BAKWATA .

Uteuzi huu umekuja kufuatia kujiuzulu ghafla kwa Mwenyekiti wa awali Sheikh Issa Othman , ambaye amefanya kazi hiyo kwa miezi mitatu tu , Sheikh Issa Othman ameachia ngazi kwa madai ya kukumbana na vikwazo vizito kwenye utekelezaji wa Majukumu yake .

Kila la heri Alhaji Kova
Sheikh Issa Othman ameachia ngazi kwa madai ya kukumbana na vikwazo vizito kwenye utekelezaji wa Majukumu yake .[emoji3064][emoji848]
Migogoro ya upigaji!?
 
Nimekuelewa mkuu

Kama waislamu wenyewe wanahujumu chombo chao cha Bakwata ni shida ya uislamu.
Ingekua wamehujumiwa wakawekewa viongozi wabudha, au wakristo, au wahindu, au wapagani ingekua shughuli
Lakini dini yao, chombo chao, viongozi wao
Warudi kwenye misingi ya imani watengeneze wanachotaka

Sie Wacha tushike jembe tukalime
Kwani nani aliunda Bakwata? Hao ni Tiss
 
Mufti wa Tanzania amemteua aliyekuwa RPC wa Dar es Salaam, Alhaji Suleiman Kova kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Maboresho ya BAKWATA.

Uteuzi huu umekuja kufuatia kujiuzulu ghafla kwa Mwenyekiti wa awali Sheikh Issa Othman, ambaye amefanya kazi hiyo kwa miezi mitatu tu, Sheikh Issa Othman ameachia ngazi kwa madai ya kukumbana na vikwazo vizito kwenye utekelezaji wa Majukumu yake.

Kila la heri Alhaji Kova
Kova na ujambazi na uuaji wake kumbe ni alhaji!
 
Mtu ana miaka 38 toka ametoka madarakani
Ana miaka 24 toka amefariki
Lakini mpaka leo bado mnalia lia badala ya kutafuta suluhisho. Hapo hamuoni kuwa ninyi ndio wenye shida !
Wayahudi mpk leo wanamlaani HITLER kuwatenda.
Sasa unashangaa nini waislamu kumlaumu laanatullahi nyerere kwa kuwawekea Chombo cha kuwadhibiti ambacho mpk leo kinasimamiwa na serikali?

We mgalatia Achana na waislamu watajijua kivyao.
Shughulika na wale wachungaji wanao lazimisha kina mama waje makanisani bila nguo za ndani.
Au wale wanaouza maji ya Azam chupa dola 100 wakidai ni ya upako na uzima wa milele.

Nyau wahedi
 
Mtu ana miaka 38 toka ametoka madarakani
Ana miaka 24 toka amefariki
Lakini mpaka leo bado mnalia lia badala ya kutafuta suluhisho. Hapo hamuoni kuwa ninyi ndio wenye shida !

CCM yake kwani imefariki lini?
 
Mwinyi alitaka kuvunja 1990s,mufti wa wakati huo hemed bin jumaa,akamwambia 'inaelekea Nyerere hakukwambia bakwata ni nini!'..mwinyi akawaambia waislam waanzishe taasisi zingine,uchaguzi wa mufti bakwata hujaa maafisa vipenyo ili akalie kiti anayeaminika, waislam ukiwaacha wakawa na umoja na bila kudhibitiwa wataiendesha nchi,wataweka rais wamtakae nk..ndiyo Imani ya 'wenyewe'
Punguza kunywa Gahawa! Hayo maongezi ya Mwinyi na Mufti uliyasikia ukiwa eneo gani pale Ikulu? Chuki Chuki Chuki!
Kwamba Mufti au TISS wana uwezo wa kumgomea Rais wa nchi!!!??? Ujinga mtupu

Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
 
Wayahudi mpk leo wanamlaani HITLER kuwatenda.
Sasa unashangaa nini waislamu kumlaumu laanatullahi nyerere kwa kuwawekea Chombo cha kuwadhibiti ambacho mpk leo kinasimamiwa na serikali?

We mgalatia Achana na waislamu watajijua kivyao.
Shughulika na wale wachungaji wanao lazimisha kina mama waje makanisani bila nguo za ndani.
Au wale wanaouza maji ya Azam chupa dola 100 wakidai ni ya upako na uzima wa milele.

Nyau wahedi
Afadhali umedhihirisha chuki zako.
NB: Chuki humuathiri mchukiaji na si mchukiwa.

Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom