Mwanamageuko
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 8,604
- 5,583
Huo si UKAWA bali UKIWA!!NCCR, CUF, UDP, TLP, DP na CCM wana UKAWA wao hivyo usishangae Mbatia akawa mbunge viti maalum CCM B.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huo si UKAWA bali UKIWA!!NCCR, CUF, UDP, TLP, DP na CCM wana UKAWA wao hivyo usishangae Mbatia akawa mbunge viti maalum CCM B.
Mitaa IPI.mkuu nitimbe Niko ovyo leoTunashukuru kwa maoni yako, tuko busy tunagonga balimi bariiiiiidi kabisa nakuanza weekend
Yes..Deo Mwanyika amepitishwa?
Mwenyewe nauliza pia..Deo Mwanyika amepitishwa?
Haya Mzee wa leo. Kwa ujinga wako.Yaani unamsifia mteuliwa Dr. Kimei kuwa na profile kubwa lakini unalaumu mawazo ya wafuasi wa Chadema kuhusu habari za CCM B.
Ninadhani mambo haya yalihitaji mara mbili tofauti. Kwa sasa sifia uteuzi wa Dr. Kimei na achana na ujinga na lawama dhidi ya Chadema ambao wameweka mgombea sawa sawa na NCCR Mageuzi.
Vijana wa leo mna tatizo na kukosa maarifa! Huna uwezo hata wa kuchambua na kujipanga kabla hujasema kitu!
Wenyewe wanasema ndiye waziri wa fedha mtarajiwa!CCM ipambane kweli kweli wampeleke bungeni mtu huyu, anafaa kuwa naibu waziri wa fedha, akasaidiane na Dr. Mpango, ama waziri kamili katika wizara zinazo husiana na uwekezaji, biashara, masoko na mambo ya namna hiyo
Labda majina yamefanana...Deo Mwanyika amepitishwa?
Magufuli hawezi kumpa mchaga hazina, bet.Kimei - waziri wa fedha na mipango
Deo Mwanyika -waziri wa madini..
Abbas Tarimba -habari na michezo
Alafu apate Mrema sio?...Kwa ninavyoifahamu Vunjo, Mbatia na Kimei wanaweza kukosa wote
Ndio kuswema ahadi ya kupewa majimbo 20 na KUB imeanza kupoteaMbatia bye bye
Ova
Alafu apate Mrema sio?...
Kimei - waziri wa fedha na mipango
Deo Mwanyika -waziri wa madini..
Abbas Tarimba -habari na michezo
Hata viwanda atawekwaMpango??