Uchaguzi 2020 Uteuzi wa Charles Kimei ni dhahiri CCM wanataka Jimbo la Mbatia. Na iwe kifo cha dhana ya CCM B

Haya Mzee wa leo. Kwa ujinga wako.
 
CCM ipambane kweli kweli wampeleke bungeni mtu huyu, anafaa kuwa naibu waziri wa fedha, akasaidiane na Dr. Mpango, ama waziri kamili katika wizara zinazo husiana na uwekezaji, biashara, masoko na mambo ya namna hiyo
Wenyewe wanasema ndiye waziri wa fedha mtarajiwa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…