Uteuzi wa Dkt. Biteko ni mchawi mpe mwana amlee

Uteuzi wa Dkt. Biteko ni mchawi mpe mwana amlee

umesoma hii:-

WADAIWA KUSHIRIKIANA NA KAMPUNI YA DAISY GENERAL TRADERS KUKWAPUA MABILIONI FEDHA TOKA BANK KUU (BoT)

4/9/2023: 21:30 HRS Western Indiana.

Taarifa kutoka ndani ya kitengo cha Financial Intelligence Unit (FIU) zinatujuza kama ifuatavyo.

Genge la walafi na wakwapuaji Fedha za walipa kodi likiongozwa na Angela Kiziga, Abdluhalim Hafidh Ameir na Hamad Massaun Yusuph linaifilisi nchi.

Pesa ambazo Hayati Magufuli alikataa kutokuilipa kampuni ya DAISY GENERAL TRADERS zimelipwa kimya kimya na ongezeko la zaidi ya tsh Billion 11.

Pesa hizo zilikuwa ni za manunuzi ya sare za jeshi la Polisi zina utata hivyo Mzee Magufuli akazuia kutokulipwa.

Mama Samia aliruhusu malipo hayo yafanyike kwa kampuni hiyo na ongezeko zaidi kwani kampuni hiyo badala ya kulipwa tsh Bil 10.9 sasa imelipwa tsh Bilioni 21.9 na chanji inabakia.

Pesa hizo zililipwa katika akaunt namba 01530390577600 CRDB, mali ya DAISY GENERAL TRADERS kwa mafungu mawili ambapo tarehe 25/3/2023 akaunt tajwa ilipokea kiasi cha tsh Bilioni 2,737,986,111.86 na baadaye kiasi cha tsh 19,223,257,320.00 hivyo kukamilika kiasi cha tsh Billion 21,961,243,431.86.

Hata hivyo kampuni ya DAISY GENERAL TRADERS ilipata tender Wizara ya Mambo ya ndani kutengeneza sare za jeshi kwa gharama ya kiasi cha tsh Bilioni 10 na baada ya kuchelewesha inaonyesha fedha hizo zilizuiliwa kulipwa.

Katika Mazungumzo ya wamiliki wa kampuni ya DAISY GENERAL TRADERS ambao ni Angela Kiziga na Elvis Peter Kilango na Serikali waliomba kulipwa ongezeko la tsh milioni 900 ambazo zilikuwa ni kwa ajili ya kodi na wakakubaliana hivyo.

Jumla walistahili kulipwa kiasi cha tsh bilion 10.9. Cha kushangaza ni namna mgao na malipo yalivyofanyika. Baada ya kiasi cha tsh Bilioni 21,961,243,431.86 kuingizwa kwenye akaunt no 01530390577600 CRDB mali ya DAISY GENERAL TRADERS inayomilikiwa na Angela Kiziga na Elvis Peter Kilango mgao ulikuwa kama hivi.

Bwana Elvis Peter Kilango inaonyesha ana akaunti no 2012322 mali yake binafsi katika Bank ya ABSA BANK TANZANIA. Ambapo sasa hapo ndio mchezo ukaanza.

Akaunt No 2012322 mali ya Elvis ikaanza kupokea miamala kama ifuatavyo.

Tarehe 30/3/2023 ilipokea kiasi cha tsh Bilioni 7
Tarehe 5/4/2023 ilipokea kiasi cha tsh Bilioni 8
Tarehe 12/4/2023 ilipokea kiasi cha tsh bilion 4.9

Mpaka hapo ukipiga hesabu utaona akaunti hiyo binafsi iliingiza Jumla ya kiasi cha tsh Billion 19.9

Mgawanyo mwingine ukaendelea kwa watu binafsi sasa.

Elvis Peter Kilango alijiingizia kiasi cha tsh bilion 4,769,200,000.00
Elvis akalipa fedha kwenda kwa KARMJRR JIVANJEE LTD tsh 83,132,485.00
Malipo kwenda TOYOTA TANZANIA LTD tsh 389,161,125.00
Malipo kwa anayedhaniwa ni Mbunge ndugu LIVINGSTON JOSEPH LUSINDE tsh 10,000,000.00
Malipo kwa VELVE AUTO INVESTMENT tsh 103,776,974.00
Malipo kwa HANDCRAFT NISSAN LTD tsh Bilioni 1,061,658,000.00
Malipo kwa Paul Joseph Meela tsh Bilioni 5,000,000,000.00
Malipo kwa SANGAM INDIA LTD tsh 493,616,833.00
Malipo kwa TAJ EDGE COMPANY tsh 201,835,693.00
Malipo kwa HEAVENLIGHT EDWARD KAVISHE tsh 141,000,000.00.

Ikumbukwe ABDULHALIM HAFIDH AMEIR ni kijana pendwa wa Mama Samia anayedhaniwa kumuongoza Rais kwa kuwaondoa serikalini watu wanaopingana naye.

ANGELA KIZIGA ni Swahiba na shosti wa Rais Samia na ni Mbunge wa Afrika Mashariki aliyepitishwa Bungeni bila hata kufanya interview katika chama.

THANIA ALI ABDULA ni mke wa Waziri wa Mambo ya Ndani ya nchi ambaye naye kwenye orodha ya wizi huu yumo.
Paul Joseph Meela ni shemeji yake na Mwigulu Nchemba yaani kaka wa mke wa Waziri wa Fedha.

Wengine tutawaletea mahusiano hayo taratibu.

Hata hivyo mgawanyo haukukomea hapo soma hapa chini utaona.

Tarehe 19/4/2023 ABDULHALIM HAFIDH AMEIR aliingiziwa kiasi cha tsh milioni 500,000,000,00.
Tarehe 19/4/2023 THANIA ALI ABDULA aliingiziwa kiasi cha tsh milioni 500,000,000,00 (mke wa Waziri wa Mambo ya Ndani ndgu Masauni na mtu wa karibu na Rais Samia)
Tarehe 5/5/2023 ndugu ABDULHALIM HAFIDH AMEIR aliingiziwa kiasi cha tsh milioni 500,000,000.00
Tarehe 9/5/2023 ndugu ANATORI NYAKI aliingiziwa tsh 500,000,000.00
Tarehe 9/5/2023 ELVIS PETER KILANGO alijiingizia kwenye Akaunti yake kiasi cha tsh Bilioni 3,676,000,000.00
Tarehe 15/5/2023 ndugu YASSIR KAROUB SEIF aliingiziwa kiasi cha tsh 300,000,000.00
Tarehe 15/5/2023 THANIA ALI ABDULA aliingiziwa kwenye akaunt yake tena tsh 200,000,000.00
Tarehe 22/5/2023 ABDULHALIM HAFIDH AMEIR tena akaingiziwa kiasi cha tsh milioni 120,500,000.00

Kwa mgawanyo huo utaona kama ifuatavyo:

1. ABDULHALIM HAFIDH AMEIR amelipwa kiasi cha tsh Bilioni 1,120,500,000.00

2. Bi THANIA ALI ABDULA amelipwa kiasi cha tsh milioni 700,000,000.00

Hawa wote sio watumishi wa Umma na haijulikani wamefanya biashara gani na Serikali.

Kama mama Samia hahusiki ni vyema asimame na kuwakamata wahusika wote wa jambo hili.

Hata hivyo akaunt no 0152673620900 CRDB mali ya THANIA ALI ABDULA ndio iliyopokea pesa zote ambazo mke wa Waziri wa Mambo ya Ndani alilipwa na yeye kuzigawa kama ifuatavyo.

Tarehe 27/4/2023 THANIA ALI ABDULA alimuingizia ndugu ALI JAFAR SHAURI kiasi cha tsh 100,000,000.00

Tarehe 5/5/2023 alitoa cash yeye mwenyewe kiasi cha tsh milioni 170,500,000.00

Tarehe 10/5/2023 alimuingizia pesa ndugu HAMAD MASAUN YUSUPH (mumewe) kiasi cha tsh milioni 80,000,000.00.

Hapo tunamaanisha kazi iendelee ni pamoja na hayo yote?

Nchi imeshindikana hii.
Peleka mahakamani kama hii ni kweli tupu. Ushahidi si unao?
 
Mijitu inayomuabudu Magufuli inakuwa kama vile mufilisi kwenye ubongo. Yanasifia mpaka yanaongopa.

Kwa taarifa yako Oktoba 2015 bei ya sukari ilikuwa Tsh 1,800/= kwa kilo. Huyo mpumbavu wenu mnayemuabudu alipoingilia hiyo bei ilipanda hadi Tsh 3,000 -5,000/= kwa kilo.

Danganya wajinga wenzio tu, sisi tuna takwimu
Pimbi mkubwa wewe na sjui kwa nini hukutekwa wewe!
 
Pimbi mkubwa wewe na sjui kwa nini hukutekwa wewe!
Kwa vyovyote vile Rais JPM asingetufikisha popote hata kama Nia ya kutufikisha popote alikuwanayo. Nchi ilikwishafikisika, biashara zilikufa, watumishi wanadai, wakandarasi wanadai, mifuko ya hifadhi ya jamii ilifilisika, wastaafu wanadai, wafanyabiashara wanaporwa fedha zao, benk zimefilisika na hazina ilikauka kau. Hali ilikuwa ngumu sana kwake kifedha na kimahusiano na mataifa mengine, asingekuwa na namna yoyote Ile ispokuwa kuachia ngazi, kuwekewa vikwazo au kupata shambulio la moyo.

Isingekuwa busara kwa Rais Samia kuanza kutuambia kwamba hazina hakukuta kitu na amekuta madeni kibao
 
Pimbi mkubwa wewe na sjui kwa nini hukutekwa wewe!
Wewe ni mende. Unakula kwenye makabati lakini unaishi kwenye makaro na mitaro ya maji machafu.

Unabisha bei ya sukari wakati wa mwendazake??
 
Dk. Biteko ni "mchapa kazi" wa viwango vya Dk. Magufuli na serikali yake kwa vipimo vya wapinzani wa Dk. Samia na serikali yake. Biteko alikuwa waziri wa kutumainiwa na ndugu wa karibu wa JPM ambae kwenye awamu ya Tano ya JPM alipewa wizara nyeti sana ya madini.

Inasemekana kuwa wakati wa awamu ya tano umeme ulikuwa haukatiki katiki ovyo kama Sasa na mambo kwenye wizara zote yalikuwa yanakwenda vizuri kuliko Sasa kwa vipimo vya wakosoaji wa serikali ya Mama Samia.

Dr. Biteko kuteuliwa kuwa Naibu waziri Mkuu na waziri wa nishati ni jibu la wakosoaji wa serikali ya Mama Samia kwenye kukatika katika kwa umeme na utendaji kwenye wizara zote. Huyu atakuwa shahiti kama kweli Kuna uzembe uliokuwa ukifanywa na January makamba kwenye umeme au la maana Sasa ndiye waziri wa nishati. Ni shahidi kama Mwl. Majaliwa anazembea katika usimamiaji utendaji wa wizara zote maana Biteko ni Naibu waziri Mkuu.

Tunasubiri majibu ya kero zetu kujua kama kero hizi ni genuine au za kizembe TU?
Biteko ni mama kujaribu kuwafurahisha watu wa kanda ya ziwa. Maana anajua wazi hawammpendi kwa kumsaliti JPM. Anajua akicheza 2025 kanda ya ziwa wanamnyoosha misa ya kwanza tu.
 
Dk. Biteko ni "mchapa kazi" wa viwango vya Dk. Magufuli na serikali yake kwa vipimo vya wapinzani wa Dk. Samia na serikali yake. Biteko alikuwa waziri wa kutumainiwa na ndugu wa karibu wa JPM ambae kwenye awamu ya Tano ya JPM alipewa wizara nyeti sana ya madini.

Inasemekana kuwa wakati wa awamu ya tano umeme ulikuwa haukatiki katiki ovyo kama Sasa na mambo kwenye wizara zote yalikuwa yanakwenda vizuri kuliko Sasa kwa vipimo vya wakosoaji wa serikali ya Mama Samia.

Dr. Biteko kuteuliwa kuwa Naibu waziri Mkuu na waziri wa nishati ni jibu la wakosoaji wa serikali ya Mama Samia kwenye kukatika katika kwa umeme na utendaji kwenye wizara zote. Huyu atakuwa shahiti kama kweli Kuna uzembe uliokuwa ukifanywa na January makamba kwenye umeme au la maana Sasa ndiye waziri wa nishati. Ni shahidi kama Mwl. Majaliwa anazembea katika usimamiaji utendaji wa wizara zote maana Biteko ni Naibu waziri Mkuu.

Tunasubiri majibu ya kero zetu kujua kama kero hizi ni genuine au za kizembe TU?
Ngoja tuone !
 
Biteko ni mama kujaribu kuwafurahisha watu wa kanda ya ziwa. Maana anajua wazi hawammpendi kwa kumsaliti JPM. Anajua akicheza 2025 kanda ya ziwa wanamnyoosha misa ya kwanza tu.
Hata hujui kitu ww. Kwa katiba hii Kuna Rais anaweza kushindwa uchaguzi? Mbona JPM aliwaengua wagombea wote wa uchanguzi kupitia vyama vya kijinga vya upinzani?
 
Dk. Biteko ni "mchapa kazi" wa viwango vya Dk. Magufuli na serikali yake kwa vipimo vya wapinzani wa Dk. Samia na serikali yake. Biteko alikuwa waziri wa kutumainiwa na ndugu wa karibu wa JPM ambae kwenye awamu ya Tano ya JPM alipewa wizara nyeti sana ya madini.

Inasemekana kuwa wakati wa awamu ya tano umeme ulikuwa haukatiki katiki ovyo kama Sasa na mambo kwenye wizara zote yalikuwa yanakwenda vizuri kuliko Sasa kwa vipimo vya wakosoaji wa serikali ya Mama Samia.

Dr. Biteko kuteuliwa kuwa Naibu waziri Mkuu na waziri wa nishati ni jibu la wakosoaji wa serikali ya Mama Samia kwenye kukatika katika kwa umeme na utendaji kwenye wizara zote. Huyu atakuwa shahiti kama kweli Kuna uzembe uliokuwa ukifanywa na January makamba kwenye umeme au la maana Sasa ndiye waziri wa nishati. Ni shahidi kama Mwl. Majaliwa anazembea katika usimamiaji utendaji wa wizara zote maana Biteko ni Naibu waziri Mkuu.

Tunasubiri majibu ya kero zetu kujua kama kero hizi ni genuine au za kizembe TU?
Kumbuka Biteko ni mmoja, je wasaidizi wake wataimba nae wimbo mmoja, au watamwachia zigo limlemee waanze kumcheka?
 
Back
Top Bottom