Uteuzi wa Dr Mashinji ni kama kushushwa thamani

Ngongo

Platinum Member
Joined
Sep 20, 2008
Posts
20,654
Reaction score
35,887
Uteuzi wa Dr Mashinji Katibu Mkuu mstaafu wa CHADEMA kuwa DC ni kama kushushwa thamani.

Ikumbukwe Dr Slaa alizawadiwa Ubalozi baada ya kuasi chama.Hii iliinyesha namna Serekali ilivyomchukulia Dr Slaa na pia uzito wa nafasi aliyokuwa nayo.

Dr Mashinji kuzawadiwa ukuu wa Wilaya sawa na akina Lijualikali,Nassari naona ni kuonekana hana umuhimu au hana maana.
 
Ahadi ni deni, ni muhimu kulipa deni....ndio maana huwa tunaulizaga wanaomdai marehemu, wanaodaiwa na marehemu.....Hongera mama kwa kulipa madeni ya mpendwa wetu...
 
Noma kweli !
 
Ahadi ni deni, ni muhimu kulipa deni....ndio maana huwa tunaulizaga wanaomdai marehemu, wanaodaiwa na marehemu.....Hongera mama kwa kulipa madeni ya mpendwa wetu...
kumbuka yuko sawa na mchopanga
 
Usimsahau na Julius Mtatiro.
 
Umeumia sana, utaendelea kuumia,kufa hufi ila cha moto utakipata
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…