Najua unatania tu mkuu 😄😄😄Naomba tafsiri😊
Njaa kali huyu aliyesomea kuchoma sindano. Kisiasa hana ushawishi wowote. Bora akubali kuwa DCDr Mashinji kuzawadiwa ukuu wa Wilaya sawa na akina Lijualikali,Nassari naona ni kuonekana hana umuhimu au hana maana.
7Million 4 kwa mwezi Sio Haba, kwani chadema walikuwa wanamlipa ngapi?
Sijakutana na mwandiko huu siku nyingi, nikaona nithibitishe kama ndo wenyewe🙃Najua unatania tu mkuu 😄😄😄
Angekuwa wa maana angebakia CHADEMA . Ana tabia za kimalaya malaya hastahili hata kuwa mwenyekiti wa kaya
😄😄😄 umeni miss sana eehSijakutana na mwandiko huu siku nyingi, nikaona nithibitishe kama ndo wenyewe🙃
Noma kweli !Uteuzi wa Dr Mashinji Katibu Mkuu mstaafu wa CHADEMA kuwa DC ni kama kushushwa thamani.
Ikumbukwe Dr Slaa alizawadiwa Ubalozi baada ya kuasi chama.Hii iliinyesha namna Serekali ilivyomchukulia Dr Slaa na pia uzito wa nafasi aliyokuwa nayo.
Dr Mashinji kuzawadiwa ukuu wa Wilaya sawa na akina Lijualikali,Nassari naona ni kuonekana hana umuhimu au hana maana.
kumbuka yuko sawa na mchopangaAhadi ni deni, ni muhimu kulipa deni....ndio maana huwa tunaulizaga wanaomdai marehemu, wanaodaiwa na marehemu.....Hongera mama kwa kulipa madeni ya mpendwa wetu...
Usimsahau na Julius Mtatiro.Uteuzi wa Dr Mashinji Katibu Mkuu mstaafu wa CHADEMA kuwa DC ni kama kushushwa thamani.
Ikumbukwe Dr Slaa alizawadiwa Ubalozi baada ya kuasi chama.Hii iliinyesha namna Serekali ilivyomchukulia Dr Slaa na pia uzito wa nafasi aliyokuwa nayo.
Dr Mashinji kuzawadiwa ukuu wa Wilaya sawa na akina Lijualikali,Nassari naona ni kuonekana hana umuhimu au hana maana.
Halafu wilaya yenyewe Sasa. Akionekana bar na mchepuko kila mtu anajua.
Million 4 kwa mwezi Sio Haba, kwani chadema walikuwa wanamlipa ngapi?
Uteuzi wa Dr Mashinji Katibu Mkuu mstaafu wa CHADEMA kuwa DC ni kama kushushwa thamani.
Ikumbukwe Dr Slaa alizawadiwa Ubalozi baada ya kuasi chama.Hii iliinyesha namna Serekali ilivyomchukulia Dr Slaa na pia uzito wa nafasi aliyokuwa nayo.
Dr Mashinji kuzawadiwa ukuu wa Wilaya sawa na akina Lijualikali,Nassari naona ni kuonekana hana umuhimu au hana maana.
Angekuwa wa maana angebakia CHADEMA . Ana tabia za kimalaya malaya hastahili hata kuwa mwenyekiti wa kaya