Uteuzi wa Dr Mashinji ni kama kushushwa thamani

Uteuzi wa Dr Mashinji ni kama kushushwa thamani

Maskin mataga wa kichadema mnatia huruma. Poleni
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 ngoja wakasuluhishe migogoro ya ardhi kwa wananchi huko.
 
Uteuzi wa Dr Mashinji Katibu Mkuu mstaafu wa CHADEMA kuwa DC ni kama kushushwa thamani.

Ikumbukwe Dr Slaa alizawadiwa Ubalozi baada ya kuasi chama.Hii iliinyesha namna Serekali ilivyomchukulia Dr Slaa na pia uzito wa nafasi aliyokuwa nayo.

Dr Mashinji kuzawadiwa ukuu wa Wilaya sawa na akina Lijualikali,Nassari naona ni kuonekana hana umuhimu au hana maana.
Kwa hiyo unataka kusema MaDC hawana maana Wala hawana umuhimu!??
 
Uteuzi wa Dr Mashinji Katibu Mkuu mstaafu wa CHADEMA kuwa DC ni kama kushushwa thamani.

Ikumbukwe Dr Slaa alizawadiwa Ubalozi baada ya kuasi chama.Hii iliinyesha namna Serekali ilivyomchukulia Dr Slaa na pia uzito wa nafasi aliyokuwa nayo.

Dr Mashinji kuzawadiwa ukuu wa Wilaya sawa na akina Lijualikali,Nassari naona ni kuonekana hana umuhimu au hana maana.
Mashinji alidhani Atateuliwa kuwa Waziri
 
Uteuzi wa Dr Mashinji Katibu Mkuu mstaafu wa CHADEMA kuwa DC ni kama kushushwa thamani.

Ikumbukwe Dr Slaa alizawadiwa Ubalozi baada ya kuasi chama.Hii iliinyesha namna Serekali ilivyomchukulia Dr Slaa na pia uzito wa nafasi aliyokuwa nayo.

Dr Mashinji kuzawadiwa ukuu wa Wilaya sawa na akina Lijualikali,Nassari naona ni kuonekana hana umuhimu au hana maana.
Bora kuliko kuganga na njaa wanawafuta machozi
 
Unaweza kumteua Dr Bashiru DC wa Nachingwea !.
Acha utani wewe Katibu Mkuu wa CCM hawezi kuwa sawa na Katibu Mkuu wa CDM au NRA.
CCM wanaunda na kusimamia Serikali kwa mujibu wa Katiba,
Yaani chama cheye Mbunge mmoja hadhi na heshima yake ni ndogo Sana ukiondoaa dhana ya People's Power
 
Wivu tu.
Akiwa cdm hata hata mgambo au polisi jamii walikiwa wanamjambisha leo mwenyekiti wa ulinzi na usalama wa eneo na saluti juu
 
SIDHANI kama kuna anaeshetists anae pata mil 4.5 , hata mimi nimempiku
 
Back
Top Bottom