Uteuzi wa Katibu Mkuu wa CCM kuwa Katibu Mkuu kiongozi wazua mjadala, Mnyika ajitokeza hadharani kuonyesha masikitiko yake

Hatari sana watu wanavyo jilimbikizia madaraka na vyeo, mtu mmoja ana vyeo vitatu;

1) Yeye Katibu Mkuu Wa Chama.

2) Yeye Balozi.

3) Yeye Katibu Mkuu Kiongozi.

Mwingine nae anavyeo zaidi ya sita: Yeye Rais, Yeye Askofu, Yeye Mhubiri Wa Kanisa, Yeye Daktari, Yeye Injinia, Yeye Mwalimu, Yeye Dereva Taxi Bubu, Yeye Mkuu Wa Majeshi n.k

Yote hii kuwanyamazisha watakaotaka kupinga kuongezwa kwa mihula ya urais.

NB: Hili swala la kutaka kuongeza mihula ya urais, CCM wakitaka kulazimisha kwa kigezo bunge lote lakwao basi nchi hii inaingia kwenye mpasuko. Watu watakichafua vibaya sana maana sasa wanajuta kwanini waligoma kuandamana pindi Tundu Lissu alivotoa wito.
 
Mwambie aksfie mbali huko. Tanzania tunahitaji watu wenye vision na sio machakara kama yeye.
Sasa huyo Bashiru Ally ana vision gani zaidi tu ya kumsujudia binadamu mwenzake?

Angekuwa ana vision si angejitokeza hadharani yeye na mwenzake Polepole kumshawishi bosi wake kuurejesha Mchakato wa Katiba Mpya ya Wananchi?
 
Sasa huyo Bashiru Ally ana vision gani zaidi tu ya kumsujudia binadamu mwenzake?

Angekuwa ana vision si angejitokeza hadharani yeye na mwenzake Polepole kumshawishi bosi wake kuurejesha Mchakato wa Katiba Mpya ya Wananchi?
Visheni yake hii hapa

Your browser is not able to display this video.
 
Ataachai nafasi mojawapo na hivyo ikulu itabaki ikulu na chama ni chama. CHADEMA ndio walitaka kuhamisha chama serikalini Mbowe alipojitanga waziri mkuu
Kiukweli Mwilapwa umeitumikia ccm kwa uaminifu mno , tena umeibeba hata kwenye mambo ya aibu , mbona huteuliwi ?
 
Kama hizi ndio hoja za CHADEMA siku hizi basi nikiri kusema hakuna umuhimu wa upinzani tena. Kama mtu ana sifa na vigezo vya kuteuliwa , hakuna namna kufanywa hivyo
Hilli ni suala la kisheria zaidi na ni vizuri tuvute subra.Tamko la TLS litatupa mwanga.Ukisoma Katiba ni kuwa ni lazima awe 'Mtumishi mwandamizi wa serikali".Hoja hiyo ndiyo itakayotuletea mjadala zaidi mbeleni.TUSUBIRI!
 
Hilli ni suala la kisheria zaidi na ni vizuri tuvute subra.Tamko la TLS litatupa mwanga.Ukisoma Katiba ni kuwa ni lazima awe 'Mtumishi mwandamizi wa serikali".Hoja hiyo ndiyo itakayotuletea mjadala zaidi mbeleni.TUSUBIRI!
Mwal
Hilli ni suala la kisheria zaidi na ni vizuri tuvute subra.Tamko la TLS litatupa mwanga.Ukisoma Katiba ni kuwa ni lazima awe 'Mtumishi mwandamizi wa serikali".Hoja hiyo ndiyo itakayotuletea mjadala zaidi mbeleni.TUSUBIRI!
Mwalimu wa chuo kikuu cha umma/ aliyefikia nafasi ya juu, huyo hatoshi kuwa afisa mwandamizi? Labda watusaidie mipaka ya hayo maneno ni kwa mtumishi aliyewahi kushika nafasi zipi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…