Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
-
- #21
Bashiru hakuwa mtumishi wa umma baada kupewa ukatibu wa ccmMwal
Mwalimu wa chuo kikuu cha umma/ aliyefikia nafasi ya juu, huyo hatoshi kuwa afisa mwandamizi? Labda watusaidie mipaka ya hayo maneno ni kwa mtumishi aliyewahi kushika nafasi zipi
Usifikiri watu hawajui sheria. Na usifikiri raisi anaweza fanya kitu bila ushauri wa mwanasheria mkuu wa serikali. Hujiulizi kwa nini kafanyiwa teuzi mbili kwa wakati mmoja?Bashiru hakuwa mtumishi wa umma baada kupewa ukatibu wa ccm
Mnyika hana degree.Angeteuliwa yeye J J Mnyika angekataa?
Mbona Mtela Mwampamba aliteuliwa kuwa DAS bila kuwa mtumishi wa umma wakati sheria inakataza ?Usifikiri watu hawajui sheria. Na usifikiri raisi anaweza fanya kitu bila ushauri wa mwanasheria mkuu wa serikali. Hujiulizi kwa nini kafanyiwa teuzi mbili kwa wakati mmoja?
Mtoa mada umeishia la ngapi?Mbona Mtela Mwampamba aliteuliwa kuwa DAS bila kuwa mtumishi wa umma wakati sheria inakataza ?
Kuna kanuni za kufuatwa na siyo kujisikia tu kwa Rais kunatosha!Kama hizi ndio hoja za CHADEMA siku hizi basi nikiri kusema hakuna umuhimu wa upinzani tena. Kama mtu ana sifa na vigezo vya kuteuliwa , hakuna namna kufanywa hivyo
Swali zuri sanaMtoa mada umeishia la ngapi?
Wewe uliandamana?Hatari sana watu wanavyo jilimbikizia madaraka na vyeo, mtu mmoja ana vyeo vitatu;
1) Yeye Katibu Mkuu Wa Chama.
2) Yeye Balozi.
3) Yeye Katibu Mkuu Kiongozi.
Mwingine nae anavyeo zaidi ya sita: Yeye Rais, Yeye Askofu, Yeye Mhubiri Wa Kanisa, Yeye Daktari, Yeye Injinia, Yeye Mwalimu, Yeye Dereva Taxi Bubu, Yeye Mkuu Wa Majeshi n.k
Yote hii kuwanyamazisha watakaotaka kupinga kuongezwa kwa mihula ya urais.
NB: Hili swala la kutaka kuongeza mihula ya urais, CCM wakitaka kulazimisha kwa kigezo bunge lote lakwao basi nchi hii inaingia kwenye mpasuko. Watu watakichafua vibaya sana maana sasa wanajuta kwanini waligoma kuandamana pindi Tundu Lissu alivotoa wito.
Tupe jibu, maana pumba unazomwaga ni dhahiri unadegree.Swali zuri sana
Hao wenye vision wamejaza vinyesi kila mtaaMwambie aksfie mbali huko. Tanzania tunahitaji watu wenye vision na sio machakara kama yeye.
Soma uzi ueleweTupe jibu, maana pumba unazomwaga ni dhahiri unadegree.
Viongozi wa Chama kuhamia kuwa Viongozi wa SerikaliniView attachment 1712912
Je Katibu Mkuu kiongozi anapaswa kuteuliwa kutoka kwenye kundi gani , anaokotwa popote au anatoka kwenye Utumishi wa Umma ?
Tumia Akili japo kidogo J.J ni Kada?Angeteuliwa yeye J J Mnyika angekataa?
Unajuta peke yako tu hata nkeo anamkubali JPMHatari sana watu wanavyo jilimbikizia madaraka na vyeo, mtu mmoja ana vyeo vitatu;
1) Yeye Katibu Mkuu Wa Chama.
2) Yeye Balozi.
3) Yeye Katibu Mkuu Kiongozi.
Mwingine nae anavyeo zaidi ya sita: Yeye Rais, Yeye Askofu, Yeye Mhubiri Wa Kanisa, Yeye Daktari, Yeye Injinia, Yeye Mwalimu, Yeye Dereva Taxi Bubu, Yeye Mkuu Wa Majeshi n.k
Yote hii kuwanyamazisha watakaotaka kupinga kuongezwa kwa mihula ya urais.
NB: Hili swala la kutaka kuongeza mihula ya urais, CCM wakitaka kulazimisha kwa kigezo bunge lote lakwao basi nchi hii inaingia kwenye mpasuko. Watu watakichafua vibaya sana maana sasa wanajuta kwanini waligoma kuandamana pindi Tundu Lissu alivotoa wito.
Wananchi; wala msiumwe vichwa kwa uteuzi huu. Kwa Mheshimiwa Rais Magufuli kila kitu kinafanyika. Cha msingi ni kudai katiba mpya na tume huru ya uchaguzi. "Nothing less; nothing more".View attachment 1712912
Je Katibu Mkuu kiongozi anapaswa kuteuliwa kutoka kwenye kundi gani , anaokotwa popote au anatoka kwenye Utumishi wa Umma ?