Uteuzi wa Katibu Mkuu wa CCM kuwa Katibu Mkuu kiongozi wazua mjadala, Mnyika ajitokeza hadharani kuonyesha masikitiko yake

Mwal

Mwalimu wa chuo kikuu cha umma/ aliyefikia nafasi ya juu, huyo hatoshi kuwa afisa mwandamizi? Labda watusaidie mipaka ya hayo maneno ni kwa mtumishi aliyewahi kushika nafasi zipi
Bashiru hakuwa mtumishi wa umma baada kupewa ukatibu wa ccm
 
Bashiru hakuwa mtumishi wa umma baada kupewa ukatibu wa ccm
Usifikiri watu hawajui sheria. Na usifikiri raisi anaweza fanya kitu bila ushauri wa mwanasheria mkuu wa serikali. Hujiulizi kwa nini kafanyiwa teuzi mbili kwa wakati mmoja?
 
Kama hizi ndio hoja za CHADEMA siku hizi basi nikiri kusema hakuna umuhimu wa upinzani tena. Kama mtu ana sifa na vigezo vya kuteuliwa , hakuna namna kufanywa hivyo
Kuna kanuni za kufuatwa na siyo kujisikia tu kwa Rais kunatosha!
 
Wewe uliandamana?
 
Unajuta peke yako tu hata nkeo anamkubali JPM
 
View attachment 1712912

Je Katibu Mkuu kiongozi anapaswa kuteuliwa kutoka kwenye kundi gani , anaokotwa popote au anatoka kwenye Utumishi wa Umma ?
Wananchi; wala msiumwe vichwa kwa uteuzi huu. Kwa Mheshimiwa Rais Magufuli kila kitu kinafanyika. Cha msingi ni kudai katiba mpya na tume huru ya uchaguzi. "Nothing less; nothing more".
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…