Uteuzi wa Katwale Ukuu wa Wilaya Chato: Kalemani kaoneshwa njia ya kuondoka? Aligombea ubunge Chato, akapachikwa Kesi za Uhujumu Uchumi

Ilifikia mahali ofisini mwa DPP mawakili wa Serikali wenyewe wanasema kabisa hizi kesi tunaletewa tuu kupeleka Kisutu hakuna evidence.

Basi hali ilikuwa hali mbaya sana
 
Kwamba huyu bwana kateuliwa kuwa mkuu wa wilaya ya kwao chato?
 
Kwa mtazamo wangu mama ni rafiki na watuhumiwa wa ufisadi. Yote mtoa post anasema ni assumption tu. Eti jiwe akala njama na dr kalemani wakamzushia mtu kesi ya ufisadi. Mtu hawezi kuzushia kesi ya ufisadi from nowhere. Badala ya kukubaki magu alikua makini dhidi ya watu fisadi unatunga habari ya ukuda kwa kua mwenyewe ni fisadi au sympathetic na upigaji.
Mumesema mengi dhidi ya magufuli ila hata mmojawenu hajaweza kutaja shutuma yoyote ya kweli.
 
Jiwe alikuwa muonevu, mtu wa hovyo kabisa na laana
 
Sasa mbona hayupo peke yake? Kuna wakati watu wanakimbilia siasa kuficha maovu. Especially ccm
 
Sasa sijui kama Kalemani atakuwa na muda wa kuratibu shughuli za Sukuma Gang, maana kawekewa mtu wa kumpa pressure na kumkalia kooni
Huu uteuzi ni wa kimbinu sana, vita ya kiakili inaanzishwa, wao kwa wao waparurane wakiwa karibu. Wasije tu kuwekeana sumu kwenye vinywaji au vyakula.
 
Huu mchezo hauhitaji hasira 🤣🤣🤣🤣!!!
 
Sio shindikizo ni shinikizo wewe mhehe.
 
MaCCM ni majinga yanaona raha wakati lengo la Mama ni kukwamisha jitihada za chato kuwa mkoa.
Kimahesabu Chato haitakuja kuwa Mkoa, itakuwa uamuzi wa kipumbavu kama wa kupeleka uwanja wa ndege Chato au kujenga hospitali ya Kanda chato
 
Watu huwa wanamtetea tu Kalemani LAKINI kwa tunaomfahamu, huyo bwana hafai kuwa kiongozi. Niliambiwa, alipokuwa Waziri wa Nishati, aliwahi kulazimisha TANESCO kutumia mamia ya mamilioni kupeleka umeme kwenye mradi wake unaosimamiwa na shemeji yake kwa kujifanya anapeleka umeme kwenye kijiji cha Mwabomba ambacho kipo km 8 nyuma ya mradi wake. Hapo kijijini wakaingiza umeme kwenye nyumba 4 tu, nyaya zikaelekea kwenye mradi wake wa kuchenjua marudio (tailings).

Kuondolewa kwenye nafasi zote za uongozi, litakuwa ni jambo jema.
 
MaCCM ni majinga yanaona raha wakati lengo la Mama ni kukwamisha jitihada za chato kuwa mkoa.
Kwani Chato ina vigezo gani vya kuwa mkoa? Labda kama siku moja kutakuwa na sheria kuwa kijiji anachotoka Rais ni lazima kubadilishwa kuwa mkoa.
 
Ni mwanzo wa kumtaka Kalemani alete CCTV tapes alizoziondoa baada ya kurekodi tukio la kiharamia dhidi ya Lisu. Aeleze alikoziweka, aeleze kwa nini aliondoa, na nani alimwambia aziondoa.

Kusaidia kuficha uovu ni sawa na kushiriki kwenye upvu wenyewe.

Kalemani alindwe kuhakikisha hatoroki.
 
Tundu Lissu : Area D mjini Dodoma Block E ninapoishi ..... majirani zangu wakiwa Kalemani, Haji Mponda, Mwakyembe kwa kutaja wachache nimeishi tangu mwaka 2010 ...

Source : cloudsmedia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…