Abdul Mganyizi
JF-Expert Member
- Oct 28, 2019
- 1,042
- 2,005
Naamini kwa uwezo wa maanani mpo vyema na mnaaendelea vizuri na kulijenga taifa letu pendwa la Tanzania.
Huko Tamisemi kwa Katibu mkuu huwa kuna nafasi za uteuzi anazifanyaga mfano wakuu wa idara n.k. Kwa upande wa idara yetu ya elimu huku kwenye halmashauri kuna nafasi kama afsa elimu taaluma wilaya au mkoa, afisa takwimu wilaya, afisa elimu mwenyewe wilaya au mkoa kwa kurugenzi zote mbili.
Swali langu ni kwamba hizo nafasi kuna kitengo Tamisemi kipo kwa ajili ya kufanya huo uteuzi au huyo KM anafanyaje teuzi za nafasi kama hizo?
Kuna jamaa yangu juzi ameniambia kuwa kuna mtu amesema anataka amfanyie mpango wa uteuzi lakini akamwambia ampe kiasi cha fedha awapelekee waliopo kwenye kitengo wachakate suala hilo ili walipeleke kwa KM na then atafute fedha nyingne ya KM.
Sasa wasiwasi wake akaniauliza na mimi majibu sina kwa kuwa sina utaalam nalo. Mwenye kujua jamani mchakato unavyoenda atueleze ili jamaa asije akatapeliwa na maisha ni magumu mnoo kwa sasa.
Huko Tamisemi kwa Katibu mkuu huwa kuna nafasi za uteuzi anazifanyaga mfano wakuu wa idara n.k. Kwa upande wa idara yetu ya elimu huku kwenye halmashauri kuna nafasi kama afsa elimu taaluma wilaya au mkoa, afisa takwimu wilaya, afisa elimu mwenyewe wilaya au mkoa kwa kurugenzi zote mbili.
Swali langu ni kwamba hizo nafasi kuna kitengo Tamisemi kipo kwa ajili ya kufanya huo uteuzi au huyo KM anafanyaje teuzi za nafasi kama hizo?
Kuna jamaa yangu juzi ameniambia kuwa kuna mtu amesema anataka amfanyie mpango wa uteuzi lakini akamwambia ampe kiasi cha fedha awapelekee waliopo kwenye kitengo wachakate suala hilo ili walipeleke kwa KM na then atafute fedha nyingne ya KM.
Sasa wasiwasi wake akaniauliza na mimi majibu sina kwa kuwa sina utaalam nalo. Mwenye kujua jamani mchakato unavyoenda atueleze ili jamaa asije akatapeliwa na maisha ni magumu mnoo kwa sasa.