Libertatem Pugnator
JF-Expert Member
- Aug 24, 2017
- 1,005
- 1,377
Huu ni uongo wa mchana wa jua kali kabisaHao huwa wanakula na mkurugenzi..ndio maana mkurugenzi akibadilishwa na ukuu wa idara unaweza kuota nyasi kwa asilimia kubwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huu ni uongo wa mchana wa jua kali kabisaHao huwa wanakula na mkurugenzi..ndio maana mkurugenzi akibadilishwa na ukuu wa idara unaweza kuota nyasi kwa asilimia kubwa.
Afisa elimu, afisa afya, afisa ardhi, afisa rasilimali watu na afisa kada nyingine yeyote halmashauri hawa in wakuu was idara kiwilaya na mishahara yao ni sawa + posho ya nyumba+usafiri+mawasilianoSiku hizi Idara ya Elimu uongozi una posho.
Mkuu wa shule anapata Tsh 200,00 ( msingi ) na Tsh 250,000 ( Secondary na mratibu ).
Sasa nadhani Afisa Elimu watakuwa wanapata zaidi ya hizo.
nyumba+usafiri+mawasiliano wanapewa 900,000+ salary 3,700,000. BasicAfisa elimu, afisa afya, afisa ardhi, afisa rasilimali watu na afisa kada nyingine yeyote halmashauri hawa in wakuu was idara kiwilaya na mishahara yao ni sawa + posho ya nyumba+usafiri+mawasiliano
Na kuna bajeti ya idara wanaweza wakaichezea watakavyonyumba+usafiri+mawasiliano wanapewa 900,000+ salary 3,700,000. Basic
Hili ni Tatizo, wakuu wa Idara wapewe watu kwa vigezo maalum.Hao huwa wanakula na mkurugenzi..ndio maana mkurugenzi akibadilishwa na ukuu wa idara unaweza kuota nyasi kwa asilimia kubwa.