mwakani naolewa
Senior Member
- Jul 25, 2024
- 148
- 426
its obvious atatimiza matakwa ya aliyemchagua jamani tulieni muone mabadiliko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah!...Ccm hawaogopi hili aiseee au umewasahau....?Namuomba mwalimu wangu Prof. Palamagamba Kabudi atimize mapenzi ya Bwana Mungu wake, na amini nawaambia, kama hawatatimiza mapenzi ya Mungu kuhusu huu ubatili wa katiba yetu, na ubatili wa sheria yetu ya uchaguzi kabla uchaguzi mkuu ujao wa 2025, Mungu atafanya kitu na mimi nitarejea humu kuja kuwashuhudia Mungu amefanya nini!.
Hili swali limeanza kupata majibu, sikiliza mahojiano haya na Sudi Mnete wa DWWanabodi
Hii ni makala yangu kwenye gazeti la NIPASHE la leo
View attachment 3072962
Uteuzi wa Prof. Palamagamba Kabudi kuwa Waziri wa Sheria kwa Mara ya tatu, japo umefanywa na Rais Samia ambaye ni binadamu, Rais Samia ameongozwa na Roho wa Mungu kumuona Prof. Kabudi!. Hii maana yake Mungu ana makusudi fulani na Tanzania kwenye mambo fulani yanayohusu Katiba, sheria na haki. Swali ni Je Prof. Kabudi atatimiza mapenzi ya Mungu aliyemteua kupitia kwa binadamu Rais Samia au atatimiza mapenzi ya binadamu aliyemteua?.
Paskali
Si kweli, nimeisikiliza clip, Prof. Kabudi aliaga!.Waziri wa Katiba na Sheria, Profesa Palamagamba Kabudi kwenye mahojiano na mtangazaji Sudi Waziri huyo kuondoka mwishoni mwa mahojiano hayo bila kuaga.
Kabudi alijibu vizuri na kuusemaukweli, hao HRW ni waongo, wazushi na wazandiki.Kwenye mahojiano hayo mtangazaji Sudi Mnete alimuuliza Kabudi kuhusu kitendo cha serikali kuzuia maandamano ya CHADEMA, ripoti mpya iliyotoka ya Human Rights Watch na hali ya siasa ilivyo nchini.
TrueKabudi alipoulizwa kuhusu kitendo cha serikali ya Tanzania kufungia The Citizen, Kabudi alidokeza kuwa Mwananchi na The Citizen walifungiwa kwa mujibu wa sheria za nchi na kwamba kama kituo hicho kingekuwa hakijaridhishwa na maamuzi ya TCRA kilikuwa kinaruhusiwa kukata rufaa.
Hii pia sii kweli, Waziri alikata simu mara baadaya kumaliza kujibu na aliaga ana kikao kingine.ilipofika dakika ya 9 ya mahojiano Kabudi aliomba udhuru kwamba anaingia kwenye kikao kingine ambapo mara baada ya mtangazaji kuanza kumuuliza Waziri huyo kuhusu hali tete ya kisiasa hasa katika kipindi hiki ambacho taifa linaelekea kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, Waziri huyo alikataa simu.
Thanks for this.View attachment 3132609
Source: DW Swahili
mara paap News Alert: - Rais Samia afanya uteuzi: Masauni apigwa chini Wizara ya Mambo ya ndani, Kabudi apelekwa Wizara ya Habari na Michezo, Janabi kuwa mshauri wa Rais kaondolewa!Wanabodi
Uteuzi wa Prof. Palamagamba Kabudi kuwa Waziri wa Sheria kwa Mara ya tatu, japo umefanywa na Rais Samia ambaye ni binadamu, Rais Samia ameongozwa na Roho wa Mungu kumuona Prof. Kabudi!. Hii maana yake Mungu ana makusudi fulani na Tanzania kwenye mambo fulani yanayohusu Katiba, sheria na haki. Swali ni Je Prof. Kabudi atatimiza mapenzi ya Mungu aliyemteua kupitia kwa binadamu Rais Samia au atatimiza mapenzi ya binadamu aliyemteua?.
Paskali