Gilbert A Massawe
JF-Expert Member
- May 14, 2015
- 5,010
- 4,083
Endeleeni kujadili cheo Cha mtu huku mkipoga miyayo kama mamba mwenye njaa Kali
Wapumbavu nyie mmekosa ya kujadili?
Wapumbavu nyie mmekosa ya kujadili?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Endelea kulialia mwenzio kesho anakula kiapo Ikulu 🐼Acha ujinga wewe. Anaitwaga mbunge mteule. Huwezi kuchukuliwa kuwa na nafasi fulani hasa hizi za kisiasa bila kula kiapo husika.
Ndo mana Rais anaitwa Rais mteule. Hawezi kusaini nyaraka yeyote ile hadi anapoapishwa.
Kiutaratibu Rais alipaswa kumteua kuwa mbunge. Then leo asubuhi anaapishwa na Spika au Naibu Spika kuwa mbunge then ndo anateuliwa kuwa Waziri.
Ngozi nyeusi mmezoea kukiuka taratibu ndo mana hamstaarabiki
Kwani Katiba ni nini unadhani?Na katiba inasema hivyo hivyo ulivyoandika? Au ni ufafanuzi nje ya misingi ya katiba kwa matakwa ya mtu na si katiba?.
Logic siyo sheriaLakini ili uwe waziri ni lazima uwe kwanza mbunge. Na ili uwe mbunge lazima ule kiapo bungeni (kuthibitishwa kama mbunge).
Hivyo basi kuteuliwa kuwa waziri kabla hujathibitishwa kama mbunge ni kosa kimantiki.
Logic.
Ataapishwa kuwa MBUNGE kisha ataapishwa kuwa WaziriHapo kuna makosa. Ilitakiwa baada ya kuteuliwa kuwa mbunge akaapishwe kwanza bungeni ndio baadae ateuliwe kuwa waziri.
Haya mambo hata hayahitaji uwe genius kuelewa.
Ikulu washauri wa Raisi kuna shida sio SiriLakini ili uwe waziri ni lazima uwe kwanza mbunge. Na ili uwe mbunge lazima ule kiapo bungeni (kuthibitishwa kama mbunge).
Hivyo basi kuteuliwa kuwa waziri kabla hujathibitishwa kama mbunge ni kosa kimantiki.
Logic.
Ataapishwa lini na Bunge lipo mapumziko? Je kazi ya uwaziri ataanza kuifanya lini?Ataapishwa kuwa MBUNGE kisha ataapishwa kuwa Waziri
Hapa ni Tanzania mburula wewe!Kwani Katiba ni nini unadhani?
Nenda hapo Kenya uone kama Cheo cha Mudavadi kimeandikwa popote 😂😂
Hapo sasa aweza kuanza kazi ya uwaziri kabla ya kuapishwa ubunge?Ataapishwa lini na Bunge lipo mapumziko? Je kazi ya uwaziri ataanza kuifanya lini?
Mbona hakuna kipengele kimekiukwa, uteuzi umeanza kwa kumpa nafasi ya kuwa mbunge wa kuteuliwa na kisha nafasi ya Waziri wa Mambo ya Nje.Balozi Mbarouk Nassor Mbarouk 21.07.2024 alijiuzulu ubunge wa kuteuliwa na Rais, akiwa Naibu Waziri Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki.
Jumapili, 21.07.2024 usiku, Balozi Mahmoud Thabit Kombo akateuliuwa kuwa Waziri katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki.
Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Ibara ya 55(4) inaeleza “Mawaziri na Naibu Mawaziri wote watateuliwa kutoka miongoni mwa wabunge.”
Balozi Mbarouk Nassor Mbarouk ameteuliwa kuwa WAZIRI kabla ya kuteuliwa kuwa MBUNGE. Kinyume na Uteuzi wa Mawaziri, Sheria ya 1984 Na. 15
Nini kinaanza? Kiapo cha ubunge au kiapo cha uwaziri? Katiba ya JMT haipo kimya. Katiba ya JMT imeweka masharti, mbunge atakula kiapo katika bunge.
Katiba ya JMT Ibara yake ya 68 inasema “Kila Mbunge ataapishwa katika Bunge la JMT kiapo cha uaminifu kabla hajaanza kushiriki shughuli za Bunge”
Kiapo cha utii kwa wabunge kimetajwa katika kanuni za kudumu za bunge 24(1) zilizotungwa chini ya Ibara ya 89(1) ya Katiba ya Tanzania, Sura ya pili.
Kwa maoni yangu, RAIS amevunja KATIBA ya TANZANIA. Katiba ambayo aliapishwa kuhifadhi, kuilinda, kuitetea kwa mujibu wa Sheria iliyowekwa.
Au vinginevyo, tuoneshwe kwamba Balozi Mbarouk Nassor Mbarouk baada ya kujiuzulu UBUNGE, aliteuliwa kuwa MBUNGE na akateuliwa kuwa WAZIRI.
Kama tunataka MAWAZIRI wasiotokana na UBUNGE, RAIS aanzishe kuanzisha mchakato wa KATIBA MPYA, aachane na wabunge kuwa MAWAZIRI.
I stand to be corrected. Karibu.
Martin Maranja Masese, MMM.View attachment 3048994