Uteuzi wa tarehe 21 Julai 2024 waleta utata kuhusu kuvunjwa tena kwa katiba.

Endeleeni kujadili cheo Cha mtu huku mkipoga miyayo kama mamba mwenye njaa Kali

Wapumbavu nyie mmekosa ya kujadili?
 
Endelea kulialia mwenzio kesho anakula kiapo Ikulu 🐼
 
Na katiba inasema hivyo hivyo ulivyoandika? Au ni ufafanuzi nje ya misingi ya katiba kwa matakwa ya mtu na si katiba?.
Kwani Katiba ni nini unadhani?

Nenda hapo Kenya uone kama Cheo cha Mudavadi kimeandikwa popote 😂😂
 
Lakini ili uwe waziri ni lazima uwe kwanza mbunge. Na ili uwe mbunge lazima ule kiapo bungeni (kuthibitishwa kama mbunge).

Hivyo basi kuteuliwa kuwa waziri kabla hujathibitishwa kama mbunge ni kosa kimantiki.

Logic.
Ikulu washauri wa Raisi kuna shida sio Siri
Nini hiki kimefanyika?
Je kuna watu wanataka Raisi aonekane hopeless mbele ya public au?

Kuna mtu au watu huko ikulu wanatakiwa kuwajibishwa kwa hili

Na raisi naye hasomi katiba au?
 
Alishawaambia yeye ni chura kiziwi
 
Raisi ina maana hasomi hata kifungu tu cha katiba kinachoongelea uteuzi ili ajue kinachohitajika? Asivunje katiba?
 
Mbona hakuna kipengele kimekiukwa, uteuzi umeanza kwa kumpa nafasi ya kuwa mbunge wa kuteuliwa na kisha nafasi ya Waziri wa Mambo ya Nje.
Barua haitajatamka kama ameanza majukumu mara moja kama bali imeacha nafasi kwa taratibu zingine kufanyika kabla ya kiapo cha Uwaziri.
Na ninavyofahamu baada ya kiapo kukamilika ndiyo zile entlitlements za kuwa Waziri huwa granted kwa muhusika, ikiwepo kutumia gari yenye address ya Wizara anayoenda kuitumikia na kuingia ofisini kuanza majukumu.
Umeharakisha sana kukosoa kabla ya kosa halijatendeka, maana hapo ulichofanya ni kutahadharisha kuwa kosa linaweza kutendeka ilihali bado halijatendeka.
Kaa kwa kutulia watu wapo makini hawajakutukupa kama vile wewe umekurupuka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…