Uteuzi Wanafunzi wa vyuo Vikuu hadi Sept 22 -TCU

Status
Not open for further replies.
Sio kila thread lazima uchangie, kama hizi za tcu znakuboa bas we chukua time ufanye yako. Samahan lakini
 
Ngoja kidogo...hizo nyeus ztakua kijani na bluu zitakua zambarau. Kua na subira chalii
 
unataka kusema hizo zitakazotoka kesho zitakuwa tofauti na zile za awali? Je zile za awali zilitolewa na nani? Napenda kufahamishwa ili nijue zaidi.
Nawasilisha

Kama uliona ulikoitwa basi bahati yako. Zitakazotoka kesho hazitakuwa tofauti.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…