Uteuzi Wanafunzi wa vyuo Vikuu hadi Sept 22 -TCU

Uteuzi Wanafunzi wa vyuo Vikuu hadi Sept 22 -TCU

Status
Not open for further replies.
kla k2 knakpnd chake na hk n kpnd cha Tcu kutajwa na weng kwa maon tofaut,istoxhe n mada ya kielm ukikumbuka kwamba hl n jukwaa la elm,acha wanene
 
Yaaan hivi vitoto vya form six ni shydah kila mtu tcu ooh tcu kidogo tcu mbona watoto wezenu wa nacte wametulia nyinyi tuu kidogo tcu ooh tcu sjui nn na kesho kutwa utaskia heslb sjui jaman heslb wakati ni kawaida kila mtu chuo atapata hata km si chaguo lako kibaya ni mkopo mnaboa kwakweli
 
Maana ninaona wa2 wanafarakana lengo la hao wa2 nikuckia luwa tcu tayari wametoa posti........nikaamua kuasaidia.
 
Kwan lazima uingie kwny jukwaa hili la edu, we ukiona unaboreka ingia hata kwny page ya udaku huko mc2letee mambo ya kiboya humu,,,ndo maana ikaitwa jukuwaa la elimu
 
Vinaboa hivi vichalii hukuti mada ya maana tcu tcu tcu manina na ngoja mkose mkopo ndo mtatulza mshono, mara mara tcu hv mara tcu vile subrn heslb hivyo vyuo mnavyotamani mvione mnaweza mcvitilie maguu chezea bodi... Nb. Tulizeni viraruraru mnaboa mf
 
kama unaboeka usiingie hapa. acheni kuongea kwakutumia utumbo.kama ni kero,ingia jukwaa la siasa. ukistajaabu ya tcu utayaona ya siasa
 
walio wengi huku ni HAMNAZO, Hawana akli badala ya kuchangia hoja wanatukana. Hamjui kila mtu yupo huru kusema kile anachotaka? mradi tu asiende kinyume na sheria. BADILIKENI NYIE HAMNAZO
 
Yaaan hivi vitoto vya form six ni shydah kila mtu tcu ooh tcu kidogo tcu mbona watoto wezenu wa nacte wametulia nyinyi tuu kidogo tcu ooh tcu sjui nn na kesho kutwa utaskia heslb sjui jaman heslb wakati ni kawaida kila mtu chuo atapata hata km si chaguo lako kibaya ni mkopo mnaboa kwakweli

Kwan lazima uingie kwny jukwaa hili la edu, we ukiona unaboreka ingia hata kwny page ya udaku huko mc2letee mambo ya kiboya humu,,,ndo maana ikaitwa jukuwaa la elimu
Na usijione wewe pekee ndo umesoma kuliko hao form 6 unaowa-diss, wapo kibao tena isitoshe hata elimu wanakuzid lakin wamekaa kimya! usione watu wapo kimya bhana, kama inakukera wee ipotezee
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom