BARAGULA BASESE
New Member
- Sep 12, 2014
- 1
- 0
Poleni mnaosubiri. Hii imekuwa kero sasa.
Hawa watu walitangaza kuachia majina tarehw 22 lakini mpaka muda huu naangalia jina nijue kama ndugu yangu kapata au kakosa bado kimyaaaa?
Hivi nyie TCU mnajua kama tunahitajika kuwaandalia hela kwa ajili ya masomo kwa hiyo ni muhimu kufahamu mapema?
Tanzania mpaka inasikitisha, ninachoshangaa imetumika technologia ya mtandaoni kujisajili sasa si bora wangeacha kama enzi zetu unaapply moja kwa moja chuo husika?
MNABOA SANA KAMA VILE HAMJUI PESA ZINAHITAJI MATUMIZI NA MIPANGO?
Salaam... Nina mdogo wangu mpaka sasa hajajua kama amechaguliwa chuo au la. Hii ni kwa mujibu wa majina yaliyopostiwa hivi karibuni humu mtandaoni. Yeye aliomba SUA, UDSM na UDOM na katika cas status yake imeandikwa "YOUR SELECTED" Ila katika hivyo vyuo jina lake halipo?? Plz mwenye ufafanuzi maana TCU walisema watoa majina leo 22/9/2014 lakini niko hapa mtandaoni sioni kitu. naomba msaada wenu wadau.
ha ha ha haaa we jamaa umenifanya ncheke usiku huu.