Avatar
JF-Expert Member
- Mar 7, 2012
- 11,128
- 11,921
Wambie nao pia ww na usiku mwema wenye njozi njema na pia tunashukuru kwa yote waliotutendelea Leo waendelee na moyo kama huo na waturidishe jkt tu
kwel kabsa muraa... wanadhan hela znaokotwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wambie nao pia ww na usiku mwema wenye njozi njema na pia tunashukuru kwa yote waliotutendelea Leo waendelee na moyo kama huo na waturidishe jkt tu
Ukpta taarifa hii mfahamishe na form6 mwenzio body mikpo tz helsb na baraza la vyuo tcu linapenda kuwatakia usiku mwema
kwel kabsa muraa... wanadhan hela znaokotwa
Yaani mtu umeomba education bado unasumbua kwenye mitandao eti unawaza selection kama utakuwa selected acheni kusumbua kama wakitoa c utaonaa we ulikubali tareh 22 zitatoka walikwambia mda kwani hadi sa tano na dkka 59 ucku bado ni tareh 22 so we vumilia
jaman atakaeyaona anichekie na me S1858/0093/2011 JUMA BAKARI.
Kwa muda huu mtandao wa TCU umesitisha huduma za kuangalia chochote hata ku-log in. Inaonekana kuna kitu kiko jikoni kinapikwa na bada ya sekunde kadhaa kinapakuliwa rasmi.
Hivyo wadau wote mkae mkao wa standby...yaani enyewe wanasema standby mode!
Ila poleni kwa kusaubiia toka asubuhi bila kuona hochote ingawa muda si mrefu kiu yenu itajibiwa sekunde chache zijazo.