UTEUZI: Waziri wa Habari, amemteua Leodger Chilla Tenga kuwa Mwenyekiti wa Baraza la Michezo Ia Taifa(BMT)

UTEUZI: Waziri wa Habari, amemteua Leodger Chilla Tenga kuwa Mwenyekiti wa Baraza la Michezo Ia Taifa(BMT)

mekumeti

Senior Member
Joined
Jul 30, 2015
Posts
130
Reaction score
39
UTEUZI: Waziri wa Habari, amemteua Leodger Chilla Tenga kuwa Mwenyekiti wa Baraza la Michezo Ia Taifa(BMT) pamoja na Wajumbe Sita. Soma
 
UTEUZI: Waziri wa Habari, amemteua Leodger Chilla Tenga kuwa Mwenyekiti wa Baraza la Michezo Ia Taifa(BMT) pamoja na Wajumbe Sita. Soma
Mwakyembe umepatiaa mbayaa mh
 
Hapo amecheza maana soka la mpira limeyumba
 
Bora hilo ameliona maana wengine wametupeleka shimoni kwenye ulingo wa michezo, kila tukikutana na timu za nje ya Tz kwisha habari yetu, ndembwe ndembwe mlalo wa mende, karibu Chila mchango wako kwenye Taifa letu bado tunaukumbuka, yamkini ukasaidiana na wenzako kutukwamua hapa tulipokwama kwa muda mrefu.
 
Kipindi chake soka lilitulia,japo hatukufika mbali.
 
Back
Top Bottom