Mindyou
JF-Expert Member
- Sep 2, 2024
- 1,869
- 4,877
Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Dkt. Selemani Saidi Jafo amefanya uteuzi wa wajumbe watatu wa Tume ya Ushindani (FCC)
Kulingana na taarifa iloyotolewa na Wizara ya Viwanda na Biashara, Waziri Jafo amefanya uteuzi huo kwa mujibu wa Sheria ya Ushindani, Sura 285, Kifungu 62 (6) na (7) ya mwaka 2003 pamoja na marekebisho yake
Wajumbe walioteuliwa na Mhe. Dkt. Jafo ni
i) Bw. Said Habibu Tunda, kutoka Shirika la Maendeleo la Taifa (NDC, Dar es Salaam ambaye ameteuliwa kwa muda miaka mitano (5)
ii) Prof. Jehovaness Aikael kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam ambaye atahudumu kwa muda miaka mitatu (3)
iii) CPA. Dkt. Shufaa M. Al-Beity kutoka Chuo cha Usimamizi wa Fedha (IFM), Dar es Salaam ambaye pia atahudumu kwa muda miaka mitano (5).
Soma Pia: Uteuzi Agosti 6, 2024: Rais Samia afanya uteuzi wa Wenyeviti wa Bodi mbalimbali
Kulingana na taarifa iloyotolewa na Wizara ya Viwanda na Biashara, Waziri Jafo amefanya uteuzi huo kwa mujibu wa Sheria ya Ushindani, Sura 285, Kifungu 62 (6) na (7) ya mwaka 2003 pamoja na marekebisho yake
Wajumbe walioteuliwa na Mhe. Dkt. Jafo ni
i) Bw. Said Habibu Tunda, kutoka Shirika la Maendeleo la Taifa (NDC, Dar es Salaam ambaye ameteuliwa kwa muda miaka mitano (5)
ii) Prof. Jehovaness Aikael kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam ambaye atahudumu kwa muda miaka mitatu (3)
iii) CPA. Dkt. Shufaa M. Al-Beity kutoka Chuo cha Usimamizi wa Fedha (IFM), Dar es Salaam ambaye pia atahudumu kwa muda miaka mitano (5).