beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,880
- 6,368
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi amemteua Yusuf Juma Mwenda kuwa Kamishna wa Bodi ya Mapato Zanzibar (ZRB), kuanzia leo Machi Mosi, 2022
Kwa mujibu wa taarifa ya Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu mkuu kiongozi wa l iliyotolewa kwa vyombo vya habari kabla ya uteuzi huo Yusuf Juma Mwenda alikuwa mfanyakazi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA).
Yusuf Mwenda pia aliwahi kuwa diwani wa Mikocheni na Meya wa Kinondoni kuanzia mwaka 2010/ 2015
Kwa mujibu wa taarifa ya Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu mkuu kiongozi wa l iliyotolewa kwa vyombo vya habari kabla ya uteuzi huo Yusuf Juma Mwenda alikuwa mfanyakazi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA).
Yusuf Mwenda pia aliwahi kuwa diwani wa Mikocheni na Meya wa Kinondoni kuanzia mwaka 2010/ 2015