Umewahi kufanya nae kazi??.Jamaa yuko vizuri sana. Wamepata mtu sahihi.
Nilipata nafasi ya kufanya nae mikutano kadhaa zaidi ya mara 8 kati ya TRA LTD na wateja, tulikua tukimuuliza maswali na aliyajibu kwa ufasaha yale aliyoona ni changamoto zao TRA wenyewe alikubali na kwenda kuyafanyia kazi na kutekeleza.Umewahi kufanya nae kazi??.
Charles Hillary Anasoma magazeti tu IkuluKazi ya Charles Hillary ni nini hasa? Taarifa ya Uteuzi inatolewa kwa maandishi na Katibu mkuu Kiongozi!
Kafanya nin exceptional hadi awe mzuri?Jamaa yuko vizuri sana. Wamepata mtu sahihi.
Huyu si alikuwa meya wa kinondoni na mmoja wa walioshiriki kumuibia kura Rasheed wa Kawe. Kifupi sio muadilifu ni mbadhilifu anakaa karibu na shule ya Hindu Mandali
Mawazo yako yapo kwenye udini tu, mwanzo mlisema waislamu hawajasoma sasa hao waliosoma wakipewa vyeo mnanung'unika!Yusufu tena......... okay tuendelee kula mtori nyama ziko chini
Anatokea Zanzibar Sehem ganiJamaa yuko vizuri sana. Wamepata mtu sahihi.
Mawazo yako yapo kwenye udini tu, mwanzo mlisema waislamu hawajasoma sasa hao waliosoma wakipewa vyeo mnanung'unika!