Elections 2010 Uthibitisho huu hapa!

Elections 2010 Uthibitisho huu hapa!


Kumbuka uchaguzi wa 2005, M/kiti wa chadema Mbowe alikaa kiti cha mbele wakati wa kuapishwa Kikwete, wakati huo vyama vingi vya upinzani havikubaliana na matokeo kikiwemo CUF

Chadema mnaanza kulalamika mlikuwa wapi miaka yote wapinzani wakiibiwa kura, mchungaji Slaa ulikuwa bussy na wake za watu na Mbowe alijipendekeza kwa Kikwete ???

Chadema inabidi mkomae...

Bull,
Hilo bange wenzio wanavuta usiku ili waote njonzi nzuri kuliko hili lako la asubuhi linalokutuma utapike utumbo!
 
Kwa wale waliokuwa hawaamini kuwa CCM wameiba kura fungua hii attachment uone jinsi chama hiki kinavyoendeshwa na mafisadi

Acha masihara unatuwekea file alifunguki! :bowl:
 
Duh, waungwana nimeona hiyo barua. Sijui CCM/NEC watasema nini tena juu ya hili.
 

Kumbuka uchaguzi wa 2005, M/kiti wa chadema Mbowe alikaa kiti cha mbele wakati wa kuapishwa Kikwete, wakati huo vyama vingi vya upinzani havikubaliana na matokeo kikiwemo CUF

Chadema mnaanza kulalamika mlikuwa wapi miaka yote wapinzani wakiibiwa kura, mchungaji Slaa ulikuwa bussy na wake za watu na Mbowe alijipendekeza kwa Kikwete ???

Chadema inabidi mkomae...

Hayo unayoyaongea ni katika level ya Jahazi ya Clouds sio JF.
 
hawa jamaa ni kama jipu la ****.........................................watatusumbua sana kama wananchi hawataelewa haya wayafanyayo......:bowl:
 

Kumbuka uchaguzi wa 2005, M/kiti wa chadema Mbowe alikaa kiti cha mbele wakati wa kuapishwa Kikwete, wakati huo vyama vingi vya upinzani havikubaliana na matokeo kikiwemo CUF

Chadema mnaanza kulalamika mlikuwa wapi miaka yote wapinzani wakiibiwa kura, mchungaji Slaa ulikuwa bussy na wake za watu na Mbowe alijipendekeza kwa Kikwete ???

Chadema inabidi mkomae...
wewe ni kalio tu!
 
Mbona iyo doc ina zaidi ya wiki apa jamani vip?
 
ushahidi gani bado mnautaka? funguen file hilo hapo juu kwa paulo hadi mwili unatetemeka kwa hasira
 
Jamani hii doc mbona haifunguki tangu jana inaonekana kama imeliwa na mdudu
 

Kumbuka uchaguzi wa 2005, M/kiti wa chadema Mbowe alikaa kiti cha mbele wakati wa kuapishwa Kikwete, wakati huo vyama vingi vya upinzani havikubaliana na matokeo kikiwemo CUF

Chadema mnaanza kulalamika mlikuwa wapi miaka yote wapinzani wakiibiwa kura, mchungaji Slaa ulikuwa bussy na wake za watu na Mbowe alijipendekeza kwa Kikwete ???



Chadema inabidi mkomae...

Huu ni ukweli, hata kama utauma..... komaeni!
 
Back
Top Bottom