Ng'wanangwa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 10,827
- 4,176
yaliyojiri kwenye kikao cha la cairo
tunataka picha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
yaliyojiri kwenye kikao cha la cairo
Kumbuka uchaguzi wa 2005, M/kiti wa chadema Mbowe alikaa kiti cha mbele wakati wa kuapishwa Kikwete, wakati huo vyama vingi vya upinzani havikubaliana na matokeo kikiwemo CUF
Chadema mnaanza kulalamika mlikuwa wapi miaka yote wapinzani wakiibiwa kura, mchungaji Slaa ulikuwa bussy na wake za watu na Mbowe alijipendekeza kwa Kikwete ???
Chadema inabidi mkomae...
Kwa wale waliokuwa hawaamini kuwa CCM wameiba kura fungua hii attachment uone jinsi chama hiki kinavyoendeshwa na mafisadi
Kumbuka uchaguzi wa 2005, M/kiti wa chadema Mbowe alikaa kiti cha mbele wakati wa kuapishwa Kikwete, wakati huo vyama vingi vya upinzani havikubaliana na matokeo kikiwemo CUF
Chadema mnaanza kulalamika mlikuwa wapi miaka yote wapinzani wakiibiwa kura, mchungaji Slaa ulikuwa bussy na wake za watu na Mbowe alijipendekeza kwa Kikwete ???
Chadema inabidi mkomae...
yaliyojiri kwenye kikao cha la cairo
Mkuu nimekupata. Aksante kwa file!
jamani nauliza is there vaccine against stupidity?
wewe ni kalio tu!
Kumbuka uchaguzi wa 2005, M/kiti wa chadema Mbowe alikaa kiti cha mbele wakati wa kuapishwa Kikwete, wakati huo vyama vingi vya upinzani havikubaliana na matokeo kikiwemo CUF
Chadema mnaanza kulalamika mlikuwa wapi miaka yote wapinzani wakiibiwa kura, mchungaji Slaa ulikuwa bussy na wake za watu na Mbowe alijipendekeza kwa Kikwete ???
Chadema inabidi mkomae...
mkuu hiyo ni mS word ya 2007, kama yako ina 97 - 203, itagoma kufunguaniaomba nielezee ulivyofungua mie limenishinda kamisa
Nimekuwa nikijaribu kufungua hiyo attachment bila ya mafanikio, msword imeshindwa,, labda nipe ufafanuzi jinsi ya kufungua.
jamani nauliza is there vaccine against stupidity?
Hayo unayoyaongea ni katika level ya Jahazi ya Clouds sio JF.
Kumbuka uchaguzi wa 2005, M/kiti wa chadema Mbowe alikaa kiti cha mbele wakati wa kuapishwa Kikwete, wakati huo vyama vingi vya upinzani havikubaliana na matokeo kikiwemo CUF
Chadema mnaanza kulalamika mlikuwa wapi miaka yote wapinzani wakiibiwa kura, mchungaji Slaa ulikuwa bussy na wake za watu na Mbowe alijipendekeza kwa Kikwete ???
Chadema inabidi mkomae...