Uthibitisho: Mwigulu Nchemba ni majina bandia ila vyeti ni vya kweli

Uthibitisho: Mwigulu Nchemba ni majina bandia ila vyeti ni vya kweli

Jina ni lake kabisa maana alipewa hospitali, kwa vile hakuna majina yake aliyopewa alipozaliwa, wala hakuna majina ya wazazi wake, then ni majina yake aliyopewa, ila majina bandia ya kupewa tuu, hivyo sii kweli kuwa sii majina yake, ni yake ila bandia. Hata haya majina mengine yote tunayotumia, ni majina ya watu ambaoyo nasi tulipewa tuu kama na yeye alivyopewa!.

P
[emoji23][emoji23][emoji23]mayala na we ulipewa wapi mwaloni auu[emoji2][emoji2][emoji2]

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
 
Pasco acha kujishushia hadhi kirahisi namna hii.
Kosa la mwigulu siyo uhalali wa majina!!
Laa hasha, wala hatugombani na ubora wa akili yake kimasomo.
Tunapambana na UDANGANYIFU.
Sisi tunafahamu kuwa mtu ajulikanaye kwa jina la Lameck Mkumbo alifanya mtihani wa darasa la saba mwaka (.. ) katika kituo cha mtihani cha shule ya msingi (.....) akafeli
Halafu mtu yule tunayemfahamu kwa jina la Lameck Mkumbo anafanya tena mtihani wa darasa la saba mwaka (.....) katika kituo cha mtihani cha shule ya msingi (....) this time kwa jina la Mwigulu Nchemba, Akafaulu!!!!!

AMELIONGOPEA TAIFA.
Anaweza kuwaongopea wanyaturu
Hawezi na haitawezekana awaongopee wanyiramba wa kata nzima ya kyengege!!!!!

Kwa ucha MUNGU wao, wakazi hawa dhamira zinawasuta kuona huu mwendelezo wa kulidanganya taifa.

Labda kama uongo sio kosa kwa namna yoyote.

Sikutaja majina ya shule na miaka kama wito kwa Mwigulu Aliombe radhi taifa kwa uongo ule
TAIFA KAMA TAIFA LIKO TAYARI KUMSAMEHE ONCE AND FOR ALL.
Niwatakie JUMAPILI mwanana
Hakuna uthibitisho wa hili hiyo 1984 ni juzi tuu kama ni kweli tungeishawasikia waliosoma nae japo ile kuacha shule kwenda kuchunga mbuzi kisha kurudi kurudi shule ni kali. Lazima taarifa zake zote zipo kwa sababu mtu akiacha shule hufukuzwa, kurudishwa sio issue ndogo hivyo data lazima zipo.
Pasco
 
Maderu alisema Nondo kajiteka, akamchukulia kama kitu na sio mtu.

Asubiri 2020 atakapokosa kabisa na jimbo akili itamka sawa wakiwa madarakani wanajisahau sana.
 
Mhe. Mwigulu Nchemba, hongera sana kwa uteuzi,

Siku ukipata muda, na kama itakupendeza, unaweza kuzijibu hoja 3 za bandiko hili, ila hata usipozijibu, they make no difference.

Hongera sana mwana Ilboru mwenzangu.

P
 
Mhe. Mwigulu Nchemba, hongera sana kwa uteuzi,
Siku ukipata muda, na kama itakupendeza, unaweza kuzijibu hoja 3 za bandiko hili, ila hata usipozijibu, they make no difference,
Hongera sana mwana Ilboru mwenzangu.
P
Kwahiyo tuna mwana Ilboru na waziri wa fedha ambaye ana jina ambalo sio lake ila yeye ndio kaingia darasani??

Haya mambo yapo Afrika tu na hasa hasa Tanzania.
 
Hivi kwa Nini hatuna vetting, mtu majina yake ni bandia halafu wamepewa Ubunge, Uwaziri kwa mtu ambaye kiuhalisia mtu Mwenye vyeti hayupo ?
 
Mamlaka husika naomba iingilie kati ijiridhishe kama kweli vyeti ya Udaktari wa Uchumi vya Dk. Mwigulu Nchemba ni vya kwake kweli au laa? ili kulisuru Taifa.

Taifa linakoelekea sasa ni kubaya na kwa mzaha huu unaondelea wa Waziri wa Fedha kuna siku Serikali itakuja kushindwa kulipa mishahara hata watumishi wake.

Fedha imeshuka thamani kwa spidi kubwa, mfumko wa bei umepanda mara dufu, biashara za nje zimekwama nchi haina Dola za Marekani, kama hayo yote yanaendelea chini ya Mwigulu Serikali itakusanyaje kodi maana biashara nyingi zitakufa.

Deni la Taifa litaongezeka mara dufu na fedha zote zinazokusanywa na nchi zitakwenda kulipa deni na huku huduma za kijamii zitaendelea kudorora kwa kiasi kikubwa.

Mimi nimelala na kuamka usiku na kuwaza hivi kweli kwa uwezo huu wa Mwigulu hiyo elimu ya udaktari wa uchumi ni yake kweli au vyeti ndiyo vina jina lake? Tusilichukulie mzaha hili jambo watanzania litatutafuna wote uchumi unakwenda kuanguka kwa kiwango kikubwa sana.
 
Mamlaka husika naomba iingilie kati ijiridhishe kama kweli vyeti ya Udaktari wa Uchumi vya Dk. Mwigulu Nchemba ni vya kwake kweli au laa? ili kulisuru Taifa.

Taifa linakoelekea sasa ni kubaya na kwa mzaha huu unaondelea wa Waziri wa Fedha kuna siku Serikali itakuja kushindwa kulipa mishahara hata watumishi wake.

Fedha imeshuka thamani kwa spidi kubwa, mfumko wa bei umepanda mara dufu, biashara za nje zimekwama nchi haina Dola za Marekani, kama hayo yote yanaendelea chini ya Mwigulu Serikali itakusanyaje kodi maana biashara nyingi zitakufa.

Deni la Taifa litaongezeka mara dufu na fedha zote zinazokusanywa na nchi zitakwenda kulipa deni na huku huduma za kijamii zitaendelea kudorora kwa kiasi kikubwa.

Mimi nimelala na kuamka usiku na kuwaza hivi kweli kwa uwezo huu wa Mwigulu hiyo elimu ya udaktari wa uchumi ni yake kweli au vyeti ndiyo vina jina lake? Tusilichukulie mzaha hili jambo watanzania litatutafuna wote uchumi unakwenda kuanguka kwa kiwango kikubwa sana.
CCM vimejaa vyeti vya Gerezani na ndivyo wanavipenda, hawapendi wenye uwezo wa kupambanua na kuhoji.
 
Boss wake ananenepa tu kwa raha zake
 

Attachments

  • Screenshot_20230809_082811_Gallery.jpg
    Screenshot_20230809_082811_Gallery.jpg
    117.6 KB · Views: 2
Back
Top Bottom