Uthubutu: Kijana atakayeelezea jinsi atakavyoizalisha elfu 50 ndani ya mwezi mmoja nitamkopesha bila riba

Nakumbuka kuna kipindi Marehemu Mzee Mengi alikuwa anashindanisha mawazo ya kibiashara na kutoa 1M kila mwezi nadhani
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inakujaaa inakataaa,inakujaaa inakataaa..

On a serious note mm imekataa kuclick...! Kuna mama hapa anapika hizo mambo kila siku mfuko mzima anatoa hizo idad za maandaz na half cake .anatumia sukari 3kgs..aliomba nimpgie faida nikapga kwa uaminifu mkubwa ikaonekana anapata faida ya 8000!..hajalipa mkandaji..dishi moja analipa 2000!anakanda dishi 4daily!mafuta anatmia lita 5!ingawa yanabaki kiasi!all in all apambane tu kiume
 
Uko mkoa gani
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe
Kuna jamaa YANGU anawazo kama lako la maziwa au ndiyo wewe....maelezo yako na YAKE yanafanana kwa kiasi kikubwa....au ni wewe unaisha kibaha picha ya....?
 
Nje ya mada
MLeta shindano ni ke au me?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…