Nenda Wilaya ya Kilindi kuku wamejaa bei sawa na bure.
Moja ni sh200/= unazidisha mara100Half cake 100@20,000 sijaelewa kabisa
Naunga mkono hoja MaBillionaire ni watu wa hovyo kabisa.
How come, MO ana utajiri wa Trillion 4 roundly hivi akitenga only 1B tu sawa na million 1000/= akawawezesha vijana kwa vigezo purposefully 1M kila mmoja sawa na vijana 1000 Tz kwa 1B moja tu ambayo haitekenyi hata itajiri wake Hell.
Hell.
Portfolio | 2020
NitajitahidiNatamani huu mrejesho ungeendana na siku utayoanza kazi/kuendelea na hiyo kazi uloandika ukapata hiyo amount
Pia ukaw unatuupdate hatua kwa hatua ili kuwapa mwanga wengine na hata sisi tunaoanza upya
Sent using Jamii Forums mobile app
ntaenda kununua mbuzi wawili kwa 25000@ kila mmoja, ntachinja nna uhakika wa kupata 20 kwa siku hivo nna uhakika wa kupata hyo 50 kwa wiki,
Sent using Jamii Forums mobile app
Inakujaaa inakataaa,inakujaaa inakataaa..
Moja 200!...Half cake 100@20,000 sijaelewa kabisa
Nina Hotel ambayo inatoa huduma ya Chakula Ila hakuna Vinywaji asilia na Bahati nzuri jirani yangu ambae pia Ni rafiki yangu ana deep freezer. Niazime hiyo Elfu hamsini Ninunue Blender ya sh.45,000 Matunda ya 3000 na Sukari Nusu pamoja na Viungo vingine nitengeneze Juice hapa niuze Glass Moja 500, ambapo kwa Matunda hayo ninauwezo wa kupata Vikombe 20 kwa wastani jumla inakua 10,000, nikiwekeza faida 2500 kila siku huku 2500 ingine nakuza Mtaji nitakua na uwezo wa kuirudisha hiyo Pesa in two weeks. Kwa sababu za kiusalama Namba sitaweza kuweka Ila Kama utapendezwa PM yangu ipo wazi.. Natanguliza shukrani.
Kama uko morogoro niambie nikuunganishe na mtu atakaye kuwa anakukamulia kwa bei ya nyumbani
Kuna jamaa YANGU anawazo kama lako la maziwa au ndiyo wewe....maelezo yako na YAKE yanafanana kwa kiasi kikubwa....au ni wewe unaisha kibaha picha ya....?Asante mkuu,ila mshindi sio Mimi,Mimi nimeingia kwenye tatu bora tu.maziwa nimeshafanya research,unauza kwa order,unavyotoa unapeleka moja kwa moja kwa wateja kwa order.order ni nyingine Sana ,maziwa ni deal mjini.hayawezi kubaki.usichanganye na maji tu ,utajiharibia soko.pia in case yakibaki unazalisha ya mgando.nayo Ni bei kuliko fresh.mtaji ukiwa mkubwa unafungua kifrem kabisa.na unanunua vifaa Kama Yale matank ili maziwa yasigande
AsanteUzi mzuri sana mleta mada Mungu akubariki
Kama uko morogoro niambie nikuunganishe na mtu atakaye kuwa anakukamulia kwa bei ya nyumbani
Sent using Jamii Forums mobile app
Nje ya madaMREJESHO
Wakuu habari ya leo,
Tumshukuru mungu kwa wale tulio na afya njema, na kwa wale wenzetu wenye shida mbalimbali basi mungu awafanyie wepesi.
Kama nilivyoanza na kichwa cha habari hapo juu nimeleta mrejesho wangu wa kinyang'anyiro hiki kilichokuwa kinaendelea kwa siku kadhaa hapa jukwaani, na wengi wetu kutoa mawazo yetu mbalimbali.
Mleta mada jana usiku wa saa sita aliahidi kumleta mshindi wa hili shindano,ambalo miongoni mwa orodha ile nami nilikuwepo na kuibuka na ushindi mnamo saa sita na dakika mbili usiku.
Akanifuata pm tukawasiliana usiku ule na akaahidi leo akishatoka ibadani, basi atakamilisha lile dhumuni lake. Na ilipofika saa 11:42am alinitumia hiyo pesa ikiwa kamili na ya kutolea.
Shukrani zangu za dhati ni kwa mwenyezi mungu kwanza,halafu wale wote tulioshiriki kutoa mawazo yetu hapa, sababu yatanufaisha watu wengi.
Bwana Bonde la Baraka mungu akuzidishie baraka zaidi kama unavyojiita, kwani umekuwa faraja kubwa sana kwetu,na naomba na wengine wenye uwezo mjitokeze zaidi ili kuweza kusogeza gurudumu hili la maendeleo hasa kwetu vijana.
Mungu awabariki sana.
NB:Si mwandishi mzuri kwa hiyo tuvumiliane kwa hili.
View attachment 1367006
Sent using Jamii Forums mobile app