ismail hassan
JF-Expert Member
- Jul 16, 2017
- 696
- 1,629
apo penyewe apo[emoji122][emoji122][emoji122]
Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba na mimi lisinipite hili . .
Mimi idea yangu kuuza sambusa na kacholi mashuleni (msingi na secondari ) na mtaani.
Gharama .
kalai lipo tayari
Deli lipo tayari
Viazi 2@5k
Ngano 2@1300
mafuta 2@2000
Nyanya kwa siku , pilipili, chumvi rangi ya kacholi (2000) =2000+ 5000= 7k
Jumla ni 24k
Sales
sambusa 100@100 =10k
kacholi 100@100=10k
Mauzo Jumla 20k kwa siku
20×siku 6 = 120k
120k-22k=98k
Haha kama hauna Deli na Kalai (au ukaazima )bado kuna uwekan0 ukatengeneza pesa ya kutosha said ya 50 kwa wiki .
Hili ni wazo ninalo liishi
Asante
Sent using Jamii Forums mobile app