Uthubutu: Kijana atakayeelezea jinsi atakavyoizalisha elfu 50 ndani ya mwezi mmoja nitamkopesha bila riba

apo penyewe apo[emoji122][emoji122][emoji122]
Sent using Jamii Forums mobile app
 
mwanangu ulivyoeleza naona kabisa kwa sasa kichwa changu kimepanuka kias flan, bimaana kwa mazingira ambayo nipo mm ni location ya watu kabisaaaa pamechngamka lakini hivyo vitu hakuna, ngoja nijikongoje na mm nikafanye yangu, shukraan sana mtoa mada mana vitu kama hivi tusingevipata, mkono wa shukran pia kwako...zero IQ...
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hongera kwa kufikiria njia njema ya kupata wazo

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kuna watu wana moyo wa kusaidia tu na si vinginevyo,huwezi amini mie pia nadhani mbele ya safari nitatoa kwa washindi.

Wengine tuna vimitaji vya hapa na pale lakini tumetingwa kiasi kwamba ni ngumu kufanyia kazi kila idea.

Unaweza iona Tsh 50,000/= ni pesa ndogo sana lakini kuna mtu anaisaka hiyo afanyie biashara haioni.
 
Mkuu wapi hapo huzo ndiz zinauzwa bei hiyo naomba kujua
 
Mkuu wapi hapo huzo ndiz zinauzwa bei hiyo naomba kujua


Yaani wewe kama unaweza kwenda Mbingu Ifakara nenda ukajionee maajabu ya bei za mzuzu!..sema barabara mbovu..sijui km wametengeneza sasa hv...!kule ni mbingu kwel
 
Safi sana mkuu..ila msibague..na sisi tuweke mawazo yetu tushinde!
 
Safi sana mkuu..ila msibague..na sisi tuweke mawazo yetu tushinde!
Weka tu mkuu..

Mimi nimekua nikijaribu sana biashara lakini usimamizi unanifelisha kutokana na nature ya kazi yangu nabanwa sana na sipo tayari kuacha kazi kwa sasa.

Natumai siku nikisaidia watu wawili watatu kwa plan ya mleta mada na wakafanikiwa kusimama wenyewe nafsi yangu itasuuzika kupita maelezo.
 


Be blessed mkuu!huo ni utu kutoka moyoni mwako utabarikiwa sana sana!
 
Kwa utaratibu huu huu wako nakuunga mkono kwa huyo mshindi no. 2 Peramiho kwa hiyo post yake #30 ani PM apate mtaji wake ikiwezekana aweke na namba yake ya simu. pia awe tayari kurudisha mrejesho wa kupokea huo mtaji na baadae maendeleo yake ya biashara husika...
 
oya Peramiho yetu amka huko

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Safi sana mkuu.
Ujumbe umempata bila shaka
 

Njo Pm mkuu


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Unapikia kwa kutumia nishati gani hivi vitu?

Mvua ikinyesha au jua Kali unakaa wapi kufanya biashara yako?

Rudia tena mchanganuo wa hesabu zako Mr Finest
 
Nimekupm Mkuu sorry nimechelewa nilikuwa nauguza Mdogo wangu hvyo sikuwa na muda Wa kuingia jf

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…