Uthubutu: Kijana atakayeelezea jinsi atakavyoizalisha elfu 50 ndani ya mwezi mmoja nitamkopesha bila riba

Mbona vijana wengi wa kitanzania mna mawazo mazuri sana ya biashara pita pita kwenye post nimegundua mawazo hayo ni kutoboa kabisa, shida ni mnakosa mitaji, muwe mnakopa basi bank, na bank zipo kwaajili yenu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa akl zang ndogo za std7.... Nmegundua unatka bzness idea za watu.... Na huu uzi umeuleta as shortcut to achieve ur goals [emoji3578][emoji3578][emoji3578]
 
Kamanda mwenyezi Mungu akusaidie wewe ni maana halisi ya mpambanaji hasa mwenye kiu na uchu wa maendeleo . #Alutacontinue!!

Pole pia kwa changamoto maana hizo haziepukiki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…