Uthubutu: Kijana atakayeelezea jinsi atakavyoizalisha elfu 50 ndani ya mwezi mmoja nitamkopesha bila riba

Uthubutu: Kijana atakayeelezea jinsi atakavyoizalisha elfu 50 ndani ya mwezi mmoja nitamkopesha bila riba

Biashara iliyokushinda wewe, haiwezi kuwa ndio msimamo wa LIGI

Biashara haifanywi kwasababu flani imemfanikisha au mtajirisha

na wala biashara haiachwi kufanywa kwasababu flani ilimfilisi

Halafu (mimi) nafanyaga Biashara NGUMU KUMEZA ambazo

watu kama wewe hamuwezi kuona faida ninayopata,zile biashara ukiiona "unabinua mdomo"
Mwanangu umetisha sana ..hii idea ngoja nipite nayo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
MREJESHO

Habari wakuu
Hope mko salama na tuendelee kuchukua tahadhari za ugonjwabwa corona

Niende kwenye mada kama mjuavyo mm n mnufaika namba mbili Wa hili shindano naendelea kuleta mrejesho Wa Yale tuliyokubaliana au niliyoahidi

Kifupi biashara inaenda vizuri kiasi pamoja na changamoto za hapa na pale hasa hili janga LA corona niliwah kueleza juu ya kuuguza kwa ndugu Yangu hapo awali lakn nashukuru amepona wiki iliyopta karuhusiwa hivyo muda mwingi niliutumia huko hvyo jion ndyo nilikuwa nafanya biashara sifichi kiasi nilikuwa napata faida kidogo ndyo iliyonisaidia kupata nauli na mambo madogo japo mtaji ulibaki palepale

Pia nilifanikiwa kununua kuku watano Wa kienyeji nilinunua wakiwa wadogo lakni sasa niwakubwa kias bado nahtaji kuwaongeza zaidi kwani nimeona upande huu ndio unamatumaini mazuri zaidi

Nimehama sehemu niliyokuwa nakaa kwa sasa nimepata hisani kidogo ya kaka Yangu amabaye yupo masomoni nje hvyo kaniachia .nyumba yake na inaeneo kubwa hvyo nitafanya ufugaji Mkubwa zaidi kwa kadiri iwezekanavyo nitaambatanisha na picha za kuku ninaoanza kuwafuga kwa sasa

Nikiri janga LA corona limeanza kidogo kuniyumbisha s kama mwanzo lakn nitakomaa hadi kieleweke

Cc@siliconvalley@bondelabaraka
IMG_20200415_085108.jpeg
IMG_20200415_085106.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
MREJESHO

Habari wakuu
Hope mko salama na tuendelee kuchukua tahadhari za ugonjwabwa corona

Niende kwenye mada kama mjuavyo mm n mnufaika namba mbili Wa hili shindano naendelea kuleta mrejesho Wa Yale tuliyokubaliana au niliyoahidi

Kifupi biashara inaenda vizuri kiasi pamoja na changamoto za hapa na pale hasa hili janga LA corona niliwah kueleza juu ya kuuguza kwa ndugu Yangu hapo awali lakn nashukuru amepona wiki iliyopta karuhusiwa hivyo muda mwingi niliutumia huko hvyo jion ndyo nilikuwa nafanya biashara sifichi kiasi nilikuwa napata faida kidogo ndyo iliyonisaidia kupata nauli na mambo madogo japo mtaji ulibaki palepale

Pia nilifanikiwa kununua kuku watano Wa kienyeji nilinunua wakiwa wadogo lakni sasa niwakubwa kias bado nahtaji kuwaongeza zaidi kwani nimeona upande huu ndio unamatumaini mazuri zaidi

Nimehama sehemu niliyokuwa nakaa kwa sasa nimepata hisani kidogo ya kaka Yangu amabaye yupo masomoni nje hvyo kaniachia .nyumba yake na inaeneo kubwa hvyo nitafanya ufugaji Mkubwa zaidi kwa kadiri iwezekanavyo nitaambatanisha na picha za kuku ninaoanza kuwafuga kwa sasa

Nikiri janga LA corona limeanza kidogo kuniyumbisha s kama mwanzo lakn nitakomaa hadi kieleweke

Cc@siliconvalley@bondelabarakaView attachment 1419507View attachment 1419508

Sent using Jamii Forums mobile app


Kila la heri mzee baba
 
Mkuu anzisha hii kitu tena watu waeleze namna ya kuitumia 500000 katika biashara
Mimi si tajiri ila nataka kuwafundisha utu na ubinadamu matajiri walioko JF.

Nataka kijana mwaminifu mmoja kutoka Jf nimwazime 50 na airejeshe baada ya mwezi mmoja au miwili ili nimwazime mwingine.

Changanua wazo lako na weka namba ya simu kama utapenda kuiweka hapa Kisha members wengine watanisaidia kumchagua mtu sahihi.

Please huu sio mkopo kwa wanaojiweza kwa sababu hauna riba na utakuwa umedhulumu haki ya mwingine.

Masharti na vigezo vitazingatiwa. Mshindi atatakiwa kusubmit some of his/ her details PM.

Pesa nitamtumia au kumkabidhi Ijumaa 21/ Febuari/2020.

Shindano litadumu kwa siku 3 tu.


UPDATES
23:15 Jumatano, nimefunga shindano
Nashukuru kwa mliojitokeza kuwania hichi kiasi kidogo cha 50.
Niko busy kidogo na majukumu na washiriki ni wengi.
Ninaomba Jumamosi weekend ndio nipitie post to post ili kuleta haki.
Mshindi atatangazwa na nitampa pesa mkononi kama yuko Dar na kama yuko mkoani nitamtumia na ya kutolea.
Kila mwezi nitafanya kitu hichi na atakayetengeneza faida kubwa zaidi nitampa Pesa nyingi zaidi.

UPDATES
JUMAMOSI SAA 2:50 ASUBUHI
Nimeanza kufanya sorting, niko page number 3. Leo hii hii mshindi atatangawa.

UPDATES
09:15 AM
Nimemaliza uchambuzi wa awali na kupata post 22 zenye nguvu zaidi.
Nakunywa chai kisha nimalizie kusort na kupata vijana 3 nitakaowaleta mbele yenu, asanteni.

Updates
09:48 am
Saturday
Nimepata watu hawa, na uchambuzi unaendelea miongoni mwao.
Kama kuna mtu hajatendewa haki anaruhusiwa kuleta malalamiko within one hour.
Walioingia kwenye kinyang'anyiro ni;
1.Zero IQ post no.29
2.Zwenge Ndaba post no.
3.Noelia, post no.170
4.CONTROLA post no.175
5.Davie post no.236
6.Naipenda Familia yangu, post.#57
7.Peramiho Yetu post #30
8.FK21 post #147.

Updates
1930 hrs
Ninaomba radhi kwa kuchelewesha matokeo ya mwisho.
Sikuwa hewani kwasababu zilizo nje ya uwezo.
But nikitulia nitamaliza kazi leo hii hii na mhusika atapewa chake kwa kadri tutakavyokubaliana njia ya kumfikishia Pesa yake.

Updates
23: 50
Nawashukuru washiriki wote wa shindano hili dogo.
Ninatamani kila mshiriki nimpe pesa nyingi kwaajili ya wazo lake ila kamba yangu ni fupi.
Nawashukuru pia wasomaji na wachangiaji wa Uzi huu.
Washindi ni hawa wafuatao;
3: Zwenge Ndaba, katika post yake #208 inayoelezea biashara ya maziwa kutoka Chalinze kwenda Kibaha au Dar es salaam.
2.Peramiho Yetu, katika post yake #30 anaelezea biashara ya Mahindi mabichi ya kuchoma kutoka Stereo Temeke .
1:Napenda Familia Yangu, katika post yake #57 ameelezea biashara ya maandazi na half cake .
Mimi kwasasa nitaanza na kutoa zawadi kwa mshindi nambari 1.
Kwa atakayekuniunga mkono anaweza kuungana nami kuwapa mtaji washindi nambari 2 & 3 au kumwongezea mtaji mshindi nambari moja.

Note:
Nitaendeleza hili jambo kila baada ya mwezi mmoja na ninawashauri watakaokosa wajaribu tena.
Mshindi anione pm
 
MREJESHO

Habari wakuu
Hope mko salama na tuendelee kuchukua tahadhari za ugonjwabwa corona

Niende kwenye mada kama mjuavyo mm n mnufaika namba mbili Wa hili shindano naendelea kuleta mrejesho Wa Yale tuliyokubaliana au niliyoahidi

Kifupi biashara inaenda vizuri kiasi pamoja na changamoto za hapa na pale hasa hili janga LA corona niliwah kueleza juu ya kuuguza kwa ndugu Yangu hapo awali lakn nashukuru amepona wiki iliyopta karuhusiwa hivyo muda mwingi niliutumia huko hvyo jion ndyo nilikuwa nafanya biashara sifichi kiasi nilikuwa napata faida kidogo ndyo iliyonisaidia kupata nauli na mambo madogo japo mtaji ulibaki palepale

Pia nilifanikiwa kununua kuku watano Wa kienyeji nilinunua wakiwa wadogo lakni sasa niwakubwa kias bado nahtaji kuwaongeza zaidi kwani nimeona upande huu ndio unamatumaini mazuri zaidi

Nimehama sehemu niliyokuwa nakaa kwa sasa nimepata hisani kidogo ya kaka Yangu amabaye yupo masomoni nje hvyo kaniachia .nyumba yake na inaeneo kubwa hvyo nitafanya ufugaji Mkubwa zaidi kwa kadiri iwezekanavyo nitaambatanisha na picha za kuku ninaoanza kuwafuga kwa sasa

Nikiri janga LA corona limeanza kidogo kuniyumbisha s kama mwanzo lakn nitakomaa hadi kieleweke

Cc@siliconvalley@bondelabarakaView attachment 1419507View attachment 1419508

Sent using Jamii Forums mobile app
Hongera sana Mkuu tunahtaji watu kama nyie ambao mnaonesha kweli una nia na unachokifanya uthubutu Wa kuja hapa kutueleza juu ya utekelezaji wako

Mimi nakuahid kukupush katiaka project yako ya kuku kwakukupa kuku watano makoo (jike) wadogo kama hao baada ya wiki mbili zijazo kwan nilionao bado wadogo kidogo

Kwa vile unapatikana hapa dar bas nicheki pm Mkuu

Hongera sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asante Mkuu nshakupm
Hongera sana Mkuu tunahtaji watu kama nyie ambao mnaonesha kweli una nia na unachokifanya uthubutu Wa kuja hapa kutueleza juu ya utekelezaji wako

Mimi nakuahid kukupush katiaka project yako ya kuku kwakukupa kuku watano makoo (jike) wadogo kama hao baada ya wiki mbili zijazo kwan nilionao bado wadogo kidogo

Kwa vile unapatikana hapa dar bas nicheki pm Mkuu

Hongera sana

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom