UTI wa mgongo wa wamtesa Sabaya, kesi yake yaahirishwa tena

UTI wa mgongo wa wamtesa Sabaya, kesi yake yaahirishwa tena

ukishazoea maisha mazuri mtaani tena ya kujipatia kipato kirahisirahisi tu bila kutoa jasho kisha kesho upelekwe maisha ya kulala chini,kula,kunywa,kwenda haja kwa muda Maalum, kulala kwa filimbi nk lazima msongo wa mawazo ukuletee magonjwa tu,kulala chini tena kwenye vijigodoro vya ajabuajabu sio mchezo,tutende mema tusiingie kule mahali
 
Mahakama ya hakimu mkazi Arusha imeahirisha kwa mara nyingine shauri la uhujumu Uchumi linalomkabili aliyekuwa mkuu wa wilaya ya Hai Mkoani Kilimanjaro Lengai ole Sabaya na wenzake sita baada ya mshitakiwa Sabaya kuendelea kuwa mgonjwa.

Jana Novemba 3 mwaka huu mahakama hiyo iliahirisha shauri hilo baada ya kuarifiwa kuwa mshtakiwa namba moja (Sabaya)anaumwa na hakuweza kufika mahakamani na kupanga kesi hiyo kuendelea Leo (jana), ambapo shahidi wa saba wa jamhuri ambaye ni Ofisa wa Tehama wa Benki ya CRDB Kanda ya Kaskazini, Jofrey Nnko angeendelea kutoa ushahidi wake.

Akizungumza mahakamani hapo, Wakili wa utetezi Mosses Mahuna aliieleza mahakama kuwa mtuhumiwa huyo wa kwanza bado ni mgonjwa na kuwa ametoa ruhusa kesi hiyo iendelee kusikilizwa bila yeye kuwepo.

Na bado unafikiri laana itamuacha ya kutesa wasio na hatia?
 
Naambiwa ”mgolo” ukiguswa utaumwa uti wa mgongo. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Sabaya ajikaze tu atazoea mwanzo mgumu[emoji3][emoji2][emoji1]
Ama kweli jukwaa hili ni stessless aisee nimecheka kama taahira[emoji2956][emoji28][emoji38][emoji28][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom