UTI wa mgongo wa wamtesa Sabaya, kesi yake yaahirishwa tena

ukishazoea maisha mazuri mtaani tena ya kujipatia kipato kirahisirahisi tu bila kutoa jasho kisha kesho upelekwe maisha ya kulala chini,kula,kunywa,kwenda haja kwa muda Maalum, kulala kwa filimbi nk lazima msongo wa mawazo ukuletee magonjwa tu,kulala chini tena kwenye vijigodoro vya ajabuajabu sio mchezo,tutende mema tusiingie kule mahali
 

Na bado unafikiri laana itamuacha ya kutesa wasio na hatia?
 
Naambiwa ”mgolo” ukiguswa utaumwa uti wa mgongo. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Sabaya ajikaze tu atazoea mwanzo mgumu[emoji3][emoji2][emoji1]
Ama kweli jukwaa hili ni stessless aisee nimecheka kama taahira[emoji2956][emoji28][emoji38][emoji28][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…